Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Ingekuwa heri ungeomba kwa jina la Issa bin Maryam tu mkuu, Yesu unamuingiza katika kazi isiyo yake. Acha matumizi mabaya ya jina Yesu.na pia tunatoaaa huduma za kirohoo mama ngoja nifanye sala kidogoo mambaa wasikusumbue maana
Baba katika jina lako Yeau nashukuru kwa member huyu mpya naomba ulpe hekima na akili akaishi ktk kukupendeza wewe na wanadamu
Namfunika na damu ya Yesu popote alipo wasumbufu wotee wasimsogelee pm kama sio kutoa sadaka tu
ninaomba ktk Jina lako
amen
Sadaka ruksa mama ktkt kujenga kanisa la Bwana no utaona PM..
Kwikwikwi
Huyu mrembo usipo mpata nitaamini uchawi upo🤣🤣Mpwaa
Mc
Raraaa rereee pande zipi ama atakuwa kijiwe chetu cha kinyerezi maana weekend pesa yakoo tu
Aje kumkaribisha mpendwa
Sawa bwashee😅Mpwaaaaaaaaa unaniharibia unajua niko maombi ya kufunga na kuomba kupata mwenza
Sasa dah...na m mambo ya kumuliza Mungu na mtu ashafika siwezi ntazidi kumkaribisha tu
Tukutane kinyerezi jaman...
Kwanza tuambie umefuata nini huku maana umbea wa facebook hatutaki.Habari zenu gentlemen & ladies, ikiwa unafurahia kupokea wageni wapya hapa jamiiforums basi naomba unikaribishe kwa kunipa like na nasaha zako, nimekuja kuongeza maarifa hapa.
Nijipange na nini mkuu?Ujipange
Yupi huyo asije kuwa Figo 🤣🤣Kuna shangazi pia mzoefu wa JF ila eti ni MGENI kaingia tu nae.
Karibu Sana hapa jukwaaniHabari zenu gentlemen & ladies, ikiwa unafurahia kupokea wageni wapya hapa jamiiforums basi naomba unikaribishe kwa kunipa like na nasaha zako, nimekuja kuongeza maarifa hapa.
NAKAZIAmkongwe umeaamua kuja na id nyingine.
Karibu kwetu Jamii forums Bi zandile.Habari zenu gentlemen & ladies, ikiwa unafurahia kupokea wageni wapya hapa jamiiforums basi naomba unikaribishe kwa kunipa like na nasaha zako, nimekuja kuongeza maarifa hapa.
Habari zenu gentlemen & ladies, ikiwa unafurahia kupokea wageni wapya hapa jamiiforums basi naomba unikaribishe kwa kunipa like na nasaha zako, nimekuja kuongeza maarifa hapa.
Mie nilijiunga juzikati kwa kubadili IDNadhani ile ndoto yangu ya kuwa na familia kwa muda mrefu inaelekea kutimia muda si mrefu wajameni..
Cute...... weka na namba basi.
Acha kuomba omba namba, ipo siku utapewa namba ila ni za mganga wa kienyeji.Cute...... weka na namba basi.
Konda wa Bajaj 😂😂Karibu kwetu Jamii forums Bi zandile.