Leo nimejua hakuna watu wanaotamani kukaa Kenya kama wabongo.

Leo nimejua hakuna watu wanaotamani kukaa Kenya kama wabongo.

NairobiWalker

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
14,267
Reaction score
14,890
Sio eti nakubaliana na Jaguar maana Wabunge nui watu wa kuropokwa ovyo ila jambo ndogo kama hilo Wabongo wameijadili hadi wamesummon Ambassador wa Kenya kwao ajibu maswali. Cha kushangaza nchi zingine zimelipuuza jambo hilo kama kitu kisicho na maana. Wabongo ndio wanaosumbuliwa tu. Kweli Wabongo wanaitamani Kenya. 😂 😂 😂
 
Hata nimecheka hadi nikaweka miguu juu.Kuna siku mmoja alisema hapa hakuna mdanganyika atakuja Kenya kujitafutia riski ,kumbe tena wapo wapo tena nusu ya population yao…..Duuh
 
Hehehe, Hivi ni kweli kuna mtanzania anatamani kwenda kuishi kenya? Au watu wanatafuta tu hela,
Hauna cha kusema tena.Usijiabishe kupita hapo…..Ptoooh.midanganyika I say.You are so plastic and pretentious .
 
Wabongo sisi ni watafutaji na huko kenya tunachuma kirahisi maana wakazi wa kenya mbali na kujua kingereza cha kufundishia english medium hakuna wakijuacho.ndio maana tunalalamika
hakuna kazi za maana wabongo wanazozifanya huku 254 kama sio kuosha choo, kufagia barabara, kuombaomba, kuuza mitumba, kujiuza na hali kadhalika kuuza msosi kwenye vibandaski
 
hakuna kazi za maana wabongo wanazozifanya huku 254 kama sio kuosha choo, kufagia barabara, kuombaomba, kuuza mitumba, kujiuza na hali kadhalika kuuza msosi kwenye vibandaski
Msikilize mbunge wenu,amefanya research amegundua wabongo wanamiliki biashara kubwa na bora hivyo kuwapa ushindani mkubwa akili ndogo zinazowaza ukabila.imefikia hatua mmemtuma mbunge awatetee
 
Msikilize mbunge wenu,amefanya research amegundua wabongo wanamiliki biashara kubwa na bora hivyo kuwapa ushindani mkubwa akili ndogo zinazowaza ukabila.imefikia hatua mmemtuma mbunge awatetee
Hakuna biashara kubwa wanazomiliki,,...Nipatie data hapa acha kukurupuka kama kuku mwenye ako na mimba
 
hakuna kazi za maana wabongo wanazozifanya huku 254 kama sio kuosha choo, kufagia barabara, kuombaomba, kuuza mitumba, kujiuza na hali kadhalika kuuza msosi kwenye vibandaski
Hata wakenya waliopo Tz pia wanafanya hivyo hivyo
 
Hata nimecheka hadi nikaweka miguu juu.Kuna siku mmoja alisema hapa hakuna mdanganyika atakuja Kenya kujitafutia riski ,kumbe tena wapo wapo tena nusu ya population yao…..Duuh
Hamuoni aibu tunachuma Mambo yenu .nyie ni wavivu tunakuja huko kuwaonyesha fursa
 
hakuna kazi za maana wabongo wanazozifanya huku 254 kama sio kuosha choo, kufagia barabara, kuombaomba, kuuza mitumba, kujiuza na hali kadhalika kuuza msosi kwenye vibandaski
Ndo mpaka mnalalamika? Hebu Acha utani basi.watz wameshika biashara zenu zote ndo maana mnataka kuwafukuza
 
lazima watamani, si wameshagundua mafala ni wengi sana huko, watakuja kupiga hela wawaache mnauana wenyewe kwa wenyewe ama kawaida yenu
 
Back
Top Bottom