eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Uliza Serikali yenu na pia omba omba wenu.
Rudia kuangalia video kama mbunge wenu kawataja ombaomba. ametaja biashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliza Serikali yenu na pia omba omba wenu.
That is what is on the groundRudia kusiikiliza aliyosema mbunge wako. halafu uone kama ametaja choo cha councel.
arudi kufanya nini bongolala ldc wakati anapata hewa safi na mandhari mazuri akiwa Kenya?Huyu jaguar asije kurudi tena Tz ikiwezekana idara ya uhamiaji imzuie kukanyaga bongoland.
"Wakati mwingine ni vyema kuhusisha ubongo wako japo kidogo"arudi kufanya nini bongolala ldc wakati anapata hewa safi na mandhari mazuri akiwa Kenya?
wakati mwingine, ni vyema kuuhusisha ubongo wako japo kidogo tu kabla ya kutoa kauli zako.
Kama Mkenya ananoa machete na kumkata hadi kumuua Mkenya mwenzake kwa maswala ya kisiasa na ukabila watashindwa kumuua Mtanzania aliyewashinda kwenye biashara nchini mwao???Sio eti nakubaliana na Jaguar maana Wabunge nui watu wa kuropokwa ovyo ila jambo ndogo kama hilo Wabongo wameijadili hadi wamesummon Ambassador wa Kenya kwao ajibu maswali. Cha kushangaza nchi zingine zimelipuuza jambo hilo kama kitu kisicho na maana. Wabongo ndio wanaosumbuliwa tu. Kweli Wabongo wanaitamani Kenya. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Binafsi sijawai hata kuwaza kwenda kutembea tu Kenya. Kenya is overrated country. Siwezi poteza nauli yangu kwenda uko.Hehehe, Hivi ni kweli kuna mtanzania anatamani kwenda kuishi kenya? Au watu wanatafuta tu hela,
Watu wameenda kutafuta pesa na kuwasaidia kuwamicha mademu zaoHehehe, Hivi ni kweli kuna mtanzania anatamani kwenda kuishi kenya? Au watu wanatafuta tu hela,
Omba omba pia ni income generating activity.Rudia kuangalia video kama mbunge wenu kawataja ombaomba. ametaja biashara
We jinga kubwa, Tanzania ni kama USA, thamani ya uhai wa mtanzania ni kubwa kuliko kila kitu. Ile statement ya kutoa 24hrs foreigners waondoke ama wapigwe ulidhan ni ya kunyamazia vile?Sio eti nakubaliana na Jaguar maana Wabunge nui watu wa kuropokwa ovyo ila jambo ndogo kama hilo Wabongo wameijadili hadi wamesummon Ambassador wa Kenya kwao ajibu maswali. Cha kushangaza nchi zingine zimelipuuza jambo hilo kama kitu kisicho na maana. Wabongo ndio wanaosumbuliwa tu. Kweli Wabongo wanaitamani Kenya. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mabwege waleSasa mbona mmeumwa hivi? Mbona Waganda hawalalamiki? [emoji23] [emoji23]
Binafsi sijawai hata kuwaza kwenda kutembea tu Kenya. Kenya is overrated country. Siwezi poteza nauli yangu kwenda uko.
Mbunge kalenga wafanyibiashara wadogo wadogo...hv kuna mtanzania gani mwenye biashara ya maana stareheMsikilize mbunge wenu,amefanya research amegundua wabongo wanamiliki biashara kubwa na bora hivyo kuwapa ushindani mkubwa akili ndogo zinazowaza ukabila.imefikia hatua mmemtuma mbunge awatetee
According to Duale, watanzania ndio wanalisha mpaka canteen ya bunge la Kenya....lazma nshike chini hapa nyambafhakuna kazi za maana wabongo wanazozifanya huku 254 kama sio kuosha choo, kufagia barabara, kuombaomba, kuuza mitumba, kujiuza na hali kadhalika kuuza msosi kwenye vibandaski
Mwenye ako na mimba my ass....data kamuulize jaguar na DualeHakuna biashara kubwa wanazomiliki,,...Nipatie data hapa acha kukurupuka kama kuku mwenye ako na mimba
Nenda south africa kw wazunguBinafsi sijawai hata kuwaza kwenda kutembea tu Kenya. Kenya is overrated country. Siwezi poteza nauli yangu kwenda uko.
Mfanyakazi wangu wa ndani na gardener ni wakenya na wala sina shida nao... Ni ninyi tu mko waruwaru Kwasabab ya tabia bwatu mlonayo enyi manyang'auHata wakenya waliopo Tz pia wanafanya hivyo hivyo
Bwahahaaa...hao ndo akina nani kenya ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]naona unaweweseka...Mwenye ako na mimba my ass....data kamuulize jaguar na Duale