Leo nimejua hakuna watu wanaotamani kukaa Kenya kama wabongo.

Tatz akili zako ndo chenga km jaguar
 
Wabongo sisi ni watafutaji na huko kenya tunachuma kirahisi maana wakazi wa kenya mbali na kujua kingereza cha kufundishia english medium hakuna wakijuacho.ndio maana tunalalamika
Wabongo huko Kenya ni omba omba na wachuuzi reja reja huko barabarani hakuna cha muhimu wanachokifanya.Wacha kujifanya mtu wa maana wewe maskini wa Kurasini na Kijichi.
 
Wabongo ndio wanaosumbuliwa tu. Kweli Wabongo wanaitamani Kenya.
Na njoo yote hiyo kuna mtu anaweza kutamani kenya?
Ngoja tufunge mpaka 24 hrs na kurudisha wakenya kwao utaona mtakavyosaga meno
 
Sadc yenyewe inatoa order ya msosi tz afu uje we boya ututishe hahaha
 
Sadc yenyewe inatoa order ya msosi tz afu uje we boya ututishe hahaha
Ngoja ile siku wachuuzi,omba omba na wale dada zenu malaya warudishwe makwao...halafu wanaoleta mazao wapigwe sheria km zile zile mnazotupiga sisi...wafanyibiashara wakubwa pia hvo hvo...ndio utajua faida ya kutobaniana mipakani
 
Akili yako ina matatzo, mtanzania gani anapenda kuishi kesh?
Mumejaa ubaguzi ubinafsi roho mbaya mnabaguana wenyewe Kwa wenyewe. Kuwa serious jombaa
 
Mkuu hawa wajinga hawatusumbui hata kidogo, si unakumbuka alichowafanya raisi kikwete walipoyazuia magar ya kitalii ya Tanzania kuingia Kenya? Mzee kikwete aliwabana kwenye route za ndege zao, Mara nikashangaa raisi wao akaanza kuomba poo..

Tunawalia timing tu mm kuna wengi wameajiriwa Tanapa nawajua wanajifanya wajaruo hao wote ni kuwafurusha Kwa mapanga,
Tunawalia taiming ili nasi tuwafukuze huku mmejaa kibao mahotelini na sijui ile Unilever tunaifunga.
 
Akili yako ina matatzo, mtanzania gani anapenda kuishi kesh?
Mumejaa ubaguzi ubinafsi roho mbaya mnabaguana wenyewe Kwa wenyewe. Kuwa serious jombaa
Kwhyo kuuana na kunyofoana minofu ni nn?
 
Hata nimecheka hadi nikaweka miguu juu.Kuna siku mmoja alisema hapa hakuna mdanganyika atakuja Kenya kujitafutia riski ,kumbe tena wapo wapo tena nusu ya population yao…..Duuh
Nakumbuka sana...kumbe wamejaa mpka malaya
 
Wakenya pia huku wako wengi vibarua, walinzi, mamboch, wanajiuza na wachuuzi pia
Wabongo huko Kenya ni omba omba na wachuuzi reja reja huko barabarani hakuna cha muhimu wanachokifanya.Wacha kujifanya mtu wa maana wewe maskini wa Kurasini na Kijichi.
 
hakuna kazi za maana wabongo wanazozifanya huku 254 kama sio kuosha choo, kufagia barabara, kuombaomba, kuuza mitumba, kujiuza na hali kadhalika kuuza msosi kwenye vibandaski

Asa kama ni kazi za ovyo mbon mnalalamika wageni wanawachukulia kazi zenu kwaio kumbe nyie mnataka mjiuze miili yenu na kuosha vyoo wakenya bhnπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Si wanaitaga watanzania ni wavivu [emoji23][emoji23][emoji23] tena wanatembea dunia nzima wakiimba waTz ni wavivu mbona leo wanataka kuwafukuza, alafu vyakula vyote wanavyokula vinatoka Tz hadi matunda enyewe ukabila sio mzuri
Asa kama ni kazi za ovyo mbon mnalalamika wageni wanawachukulia kazi zenu kwaio kumbe nyie mnataka mjiuze miili yenu na kuosha vyoo wakenya bhn[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Si wanaitaga watanzania ni wavivu [emoji23][emoji23][emoji23] tena wanatembea dunia nzima wakiimba waTz ni wavivu mbona leo wanataka kuwafukuza, alafu vyakula vyote wanavyokula vinatoka Tz hadi matunda enyewe ukabila sio mzuri

Awajielew awa wanachojua kubaguana na kuuwana wasichokoz moto 255 utawaunguz wenyew labla tutapat hasara kwamba watoto wetu wa chekechea watakosa walimu wakuwafundish A for Apple
 
Ahhaha wala usiwe na tabu tunao walimu kibao wapo tu,
Awajielew awa wanachojua kubaguana na kuuwana wasichokoz moto 255 utawaunguz wenyew labla tutapat hasara kwamba watoto wetu wa chekechea watakosa walimu wakuwafundish A for Apple
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…