Leo nimejua hakuna watu wanaotamani kukaa Kenya kama wabongo.

Leo nimejua hakuna watu wanaotamani kukaa Kenya kama wabongo.

Money talks...tutanunua mahindi popote pale duniani

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚wauza mapalachichi bhna wanajeuli sana

Et money talks hahaaa ela zakuuz mapalachich ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Leo ii wanajinadi watanunua mahind popot dunian
 
Awajielew awa wanachojua kubaguana na kuuwana wasichokoz moto 255 utawaunguz wenyew labla tutapat hasara kwamba watoto wetu wa chekechea watakosa walimu wakuwafundish A for Apple
Naona unajifurahisha...na wakati walimu wa ki tanzania wanawaendea mbio ugangani kisa mtu kapewa gari la kutembelea na nyumba ya kuishi...msifikirie hatuyajui..

Kwanza shule za english medium mnawapigania walimu mashuhuri toka kenya..wanatunishiana kuwa nani atotoa donge nono...
 
Naona unajifurahisha...na wakati walimu wa ki tanzania wanawarnda mbio ugangani kisa mtu kapewa gari la kutembelea na nyumba ya kuishi...msifikirie hatuyajui..
Kwanza chuo za english medium mnawapigania walimu mashuhuri toka kenya..wanatunishiana kuwa nani atotoa donge nono...

Ww unajielew kwel unaongea kitu kisichokuwepo iko chuo cha English medium ni kipi na chuo cha Swahili medium ni kipi
 
Ww unajielew kwel unaongea kitu kisichokuwepo iko chuo cha English medium ni kipi na chuo cha Swahili medium ni kipi
Bwahahaaa...kukosea katika uandishi ni kawaida...shule za english medium...wala sio chuo...

Ila usikwepe nilichokiandika
 
Wadanganyika hatuwaogopi. Hawa ni vifagio tu wa vyoo vya Council. show me any one Kenyan anaosha choo saa Sita usiku and I will lock out of this forum forever

Soma comments zote kuna jamaa kasema ana house maids wakenya [emoji23][emoji23][emoji23] naona mnataka tuwaachie kazi zetu za kusafisha choo internationally maana mnataka waTz tuwaachie vyoo vyenu maana ndo ajira tunawazibia kama ulivosema[emoji1540][emoji1540][emoji1540]
 
Serikali ya Kenya imefanya vyema kujitenga na maneno ya yule mbunge webu asiye na busara aliyetaka kuanzisha mgogoro usiokuwa na mshindi. Kwa ufupi kuna wakenya wengi zaidi wanaoishi na kufanya kazi na biashara Tanzania kuliko watanzania wanaoishi na kufanya kazi na biashara Kenya. Hii move ya "Jaguar" ingewatia hasara wakenya zaidi kuliko watanzania.
 
Sio eti nakubaliana na Jaguar maana Wabunge nui watu wa kuropokwa ovyo ila jambo ndogo kama hilo Wabongo wameijadili hadi wamesummon Ambassador wa Kenya kwao ajibu maswali. Cha kushangaza nchi zingine zimelipuuza jambo hilo kama kitu kisicho na maana. Wabongo ndio wanaosumbuliwa tu. Kweli Wabongo wanaitamani Kenya. ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
tatizo mnatuwaza sana watz af si hatuwawazi ndo mana tunatak tujue km kwel mnamaanisha ...af nyie km kidole tumbo kwetu hamnaga maana
 
tatizo mnatuwaza sana watz af si hatuwawazi ndo mana tunatak tujue km kwel mnamaanisha ...af nyie km kidole tumbo kwetu hamnaga maana
Kitu kidogo kama mbunge kuropokwa Kenya kinapata newspaper headline bongo na kujadiliwa bungeni halafu useme hamtuwazi? Mbona Waganda wamenyamaza na waliguzwa pia? Kama kuna mtu anayewaza Kenya hapa ulimwenguni ni Mtanzania.
 
Waganda hawaongei kwa sababu tayari mseven alishatoa order ya kupiga risasi mkenya yoyote anaevuka boda kimagendo
 
Nani ana mzuka na Kenya basi,shida wakenya wapo wengi tu bongo pengine kuliko hizo nchi zingine alizozitaja huyo mhuni na tunaishi nao poa ndo maana watu wame-mind huo ujinga.

Al shabaab wanavyowatoeni upepo huko.nani aje? Ile post election violence tu ni ishara hamjastaarabika.
 
Kitu kidogo kama mbunge kuropokwa Kenya kinapata newspaper headline bongo na kujadiliwa bungeni halafu useme hamtuwazi? Mbona Waganda wamenyamaza na waliguzwa pia? Kama kuna mtu anayewaza Kenya hapa ulimwenguni ni Mtanzania.
ao wengine waliokaa kimya ndo wanawagwaya si uwaga atumbakishag mtu.....af tnajar ndugu zetu ndo mana tunawaelekza...af ata angesema mwenyekit wa mtaa lzm tunge dill na nyie coz hoa watz ni ndg zetu na hatupo tayar kuona llt by zidi yaooo....msituwaze asee
 
Kitu kidogo kama mbunge kuropokwa Kenya kinapata newspaper headline bongo na kujadiliwa bungeni halafu useme hamtuwazi? Mbona Waganda wamenyamaza na waliguzwa pia? Kama kuna mtu anayewaza Kenya hapa ulimwenguni ni Mtanzania.
ni nyinyi ndio mmemfunga lockup kwenu,nani amewaagiza??[emoji23][emoji23][emoji23]!

mngekaa kimya tu kupuuza,ndio mngejua bado mnalala sebuleni kwa shemeji.
 
Hata nimecheka hadi nikaweka miguu juu.Kuna siku mmoja alisema hapa hakuna mdanganyika atakuja Kenya kujitafutia riski ,kumbe tena wapo wapo tena nusu ya population yaoโ€ฆ..Duuh
Kiswahili kimekushinda ongea lugha ya mabeberu ww
 
Sio eti nakubaliana na Jaguar maana Wabunge nui watu wa kuropokwa ovyo ila jambo ndogo kama hilo Wabongo wameijadili hadi wamesummon Ambassador wa Kenya kwao ajibu maswali. Cha kushangaza nchi zingine zimelipuuza jambo hilo kama kitu kisicho na maana. Wabongo ndio wanaosumbuliwa tu. Kweli Wabongo wanaitamani Kenya. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbunge wenu alisema mtawapiga, so kama nchi lazima ilinde na ihakikishe usalama wa raia wake popote walipo.
 
Mnawabania wakenya sana nynyi...duale kaongea kila kitu...wakati jamaa wa east afrika wakija kenya wanaachiwa huru...sasa ngojeni sheria zichongwe fresh ..tunabana...nakwambia machungwa mtauziana wenyewe....manake kutaekwa sheria hyo zaidi ya hyo ya magu..lazima mtalia tu

Ebu wawekee hiyo clip ya Duale.
 
Nchi zingine wamenyamaza ila wa-Tz kwenye mitandao ya jamii wamereact hadi viongozi wakubwa wa kenya wame-apologise ,hata haijafika kwenye bunge la Tanzania kenya maafisa usalama washamkamata Jaguar,response tu ya wananchi wa Tanzania ,nchi nyingine hata hawajafuatilia hiyo statement ,ila Kenya kujipendekeza kwa Tz ni noma,tutawakimbiza sana
Sio eti nakubaliana na Jaguar maana Wabunge nui watu wa kuropokwa ovyo ila jambo ndogo kama hilo Wabongo wameijadili hadi wamesummon Ambassador wa Kenya kwao ajibu maswali. Cha kushangaza nchi zingine zimelipuuza jambo hilo kama kitu kisicho na maana. Wabongo ndio wanaosumbuliwa tu. Kweli Wabongo wanaitamani Kenya. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nchi zingine wamenyamaza ila wa-Tz kwenye mitandao ya jamii wamereact hadi viongozi wakubwa wa kenya wame-apologise ,hata haijafika kwenye bunge la Tanzania kenya maafisa usalama washamkamata Jaguar,response tu ya wananchi wa Tanzania ,nchi nyingine hata hawajafuatilia hiyo statement ,ila Kenya kujipendekeza kwa Tz ni noma,tutawakimbiza sana
Hatujamkamata kwa sababu ya Tz. Ni kwa sababu we are a civilized society that doesn't condone hate speech unlike you people.
 
Back
Top Bottom