Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,602
- 5,809
washamba sana wale wanaume wa dar hawataki kufanya kazi.ndo maana huwa nasafiri na luxury tupu siendi ubungo
Wale ndio wanaofanya bei za Usafiri kupanda maradufu...........
Swala la msingi ni kuingia kukata tiketi kwenye ofisi zao.