washamba sana wale wanaume wa dar hawataki kufanya kazi.ndo maana huwa nasafiri na luxury tupu siendi ubungo
inakuhusu nini? ungenifata nyumbaniKwahiyo mkitujibu mnapo kwenda mtapungukiwa nini?
We unasafiri na kiri kuu!Hivi kuna watu bado wanasafiri na mabus?
Na ndegeWe unasafiri na kiri kuu!
Hahaaahaa...*Nimefika uBungo stand ya mabasi wapiga debe wanasumbua sana wananiulza naenda wapi nkajibu ZANZIBAR.*
*.nmewaacha nawaskia wanataja sehem za siri za binadamu itakua wanakumbushana biology* ..[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
Mkuu kwani mzigo wa makinikia umeshatema?Hivi kuna watu bado wanasafiri na mabus?
Ukiwajibu unakokwenda watakuvaa kama mpira wa kona....Kwahiyo mkitujibu mnapo kwenda mtapungukiwa nini?
Hehehe au na ungoWe unasafiri na kiri kuu!
Wewe unasafiri na nini mwenzetu au ndegeHivi kuna watu bado wanasafiri na mabus?
NdegeWewe unasafiri na nini mwenzetu au ndege
aisee! unadhani wote ni wachawi wa kuruka na ungo usiku kama wewe!!!!Hivi kuna watu bado wanasafiri na mabus?
Unachukia watu wakipanda ndege? Roho inakuuma, hizo ni dalili za umasikiniaisee! unadhani wote ni wachawi wa kuruka na ungo usiku kama wewe!!!!
Kwani na wewe ni kijana wa Darisalama?Kwahiyo mkitujibu mnapo kwenda mtapungukiwa nini?