Leo Nimekomesha Wapigadebe

Leo Nimekomesha Wapigadebe

Hahahahahaha nami niliwahi wajibu Uk walichukia balaaaa
 
Mbona mawakala wa Zanzibar wengi tuu hapo tena wanakumbia wanaohitaj boti ya kwanza kuna gar inawasubir... Any way kuna abiria wengine wakitoka mkoa hua wanaunga safar
 
ha ha ha ha ha ha ila wanaboa sana umenikumbusha mara ya kwanza naenda ubungo kukata ticket kidogo nichanganyikiwe maana ni kuvutwa mikono huku na huku.
 
Nikiwa Ubungo, huwaga nawaambia naenda Chalinze
 
*Nimefika uBungo stand ya mabasi wapiga debe wanasumbua sana wananiulza naenda wapi nkajibu ZANZIBAR.*


*.nmewaacha nawaskia wanataja sehem za siri za binadamu itakua wanakumbushana biology* ..[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
Kweli uliwakomesha too much, ubungo, Rangi 3 wanasumbua sana..
 
Hawa jamaa wanakera...... Mimi nikitoka nyumbani najua ninakokwenda, kwanini wananiuliza kuwa naenda wapi.... Kwani safari yangu inawahusu nini??




Kwa mliowahi kutembea nchi za wenzetu je! Hawa watu wapo?
 
Mi nikifika stand wakianza kuniuliza unaenda wapi huwa najibu nimeshafika.
 
Hawa jamaa wanakera...... Mimi nikitoka nyumbani najua ninakokwenda, kwanini wananiuliza kuwa naenda wapi.... Kwani safari yangu inawahusu nini??




Kwa mliowahi kutembea nchi za wenzetu je! Hawa watu wapo?
washamba sana wale wanaume wa dar hawataki kufanya kazi.ndo maana huwa nasafiri na luxury tupu siendi ubungo
 
Back
Top Bottom