Mbuyuni ya Wapi?? Moshi au Iringa?? Au Mbuyu wa Mjerumani Outside Arusha??Mbuyuni ya wapi..?
Tegeta au Gomzi...??
Afu kuna hii inasimama 24/7 wanapenda wadada sijui ndo wanaita DusheHiyo ni Mong'onyo....alafu kuna ile inatoa Unga sijui ndio wanaita mfaransa
Muhogo wa jang'ombe.Afu kuna hii inasimama 24/7 wanapenda wadada sijui ndo wanaita Dushe
Ahahah umemaliza kila kitu, huo ndo Mhogo Mkuu.Muhogo wa jang'ombe.
🤣🤣🤣 mwanza kumbe tuna angalauDar es salaam universities_Mihogo.
Udom_Ngano products.
Mbeya & Mwanza_Hawa Wana maisha mazuri angalau.
Sana mkuu🤣🤣🤣 mwanza kumbe tuna angalau