Josse kongolo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 449
- 990
Acha kabsa huwezi amini leo hii mimi josse kongoro nimetikiswa vibaya mnoo najitajid kusimama kuime lakini machozi yanatoka bila kipingamizi wataalam wa psychology waje hapa nawezaje kumove onHuwa nawaangalia sana wale ndugu zangu wanaosema hawawezi kutetereshwa na mapenz/mwanamke hata iweje, huwa nawaza wao wamezaliwaje!?
Natamani sana niwe na moyo mgumu mambo yakuumia na mapenz yanaboa sana, sijaoa na sina hamu yakuoa kwa yaliyonitokea tu kwa mchumba bado npo nae ila namchukia.
Natamani hata tuachane nimsahau ila moyo bado umemkomalia tu huyu boya.
Mimi bado hayajanikuta kwasababu bado sijaoa ila nakutana na hizi cases nyingi mpaka zinatupa hofu ya kuingia huko wenzetu walipo., msijumlishe wanawake woote , ni kama hivi baadhi ya wanaume wanatoka na wake zao wakiwa hawana kitu kabisa akija zipata ubabani huko anatafuta binti wa kula naye maisha . .
mama wa nyumbani yeye anaambiwa amezeeka,.. hvyohvyo hili suala la wanawake kubadilika sio la wote Tz nzima...Naendelea kufuatilia huu mjadala,
je wewe yalishawahi kukukuta au kumpata mtu wako wa karibu,?ilikuwaje?
Muongo....ha ha.Pia wanaume wakifanikiwa wanaacha ndoa zao:wake zao na kuoa mabinti wadogo
Yani nawaombea sana ambao haijawahi kuwakuta haya mambo yanatishia depression mkuu.A
Acha kabsa huwezi amini leo hii mimi josse kongoro nimetikiswa vibaya mnoo najitajid kusimama kuime lakini machozi yanatoka bila kipingamizi wataalam wa psychology waje hapa nawezaje kumove on
Hasira zako hamishia kwenye kutafuta pesa,pole binadamu hawana huruma.wapi yupo tu huwa anapiga simu eti amenimic namwitikia tu alafu nampotezea kabisa!
Matatizo kila Kona hayaepukiki nduguKama ni hivyo Inabidi tu nioe wa la saba!
Hata Mimi hii tabia siipendi, unakuta threAd inajazwa na watu wawili wanaotongozanaYani page 5 kajaa yeye tu na hii tabia wanayo wanaume wengi tu humu mara mia anaefungua uzi wa kutongozea kuliko kutongozea kwenye mada serious za watu wengine
Asilmia kubwa ya wazazi ,baba Ndo wenye kipato kikubwa na hakuna baya linalotokea..Sana sana baba atakuwa na kamchepuko ila ataiheshimu ndoa yake na mambo yote yatakwenda vizuri...Ila mwanamke akiibukia kwenye kipato familia lazima iwake motoStory zime base upande mmoja inamaana nyie wanaume ndio mnakaa perfect hamna makando kando ya kutelekeza familia kwenye mahusiano?
What goes around comes arounds kunasiku hyo mdada kama ulichoeleza ni kwel atayatiba tu...Experience yangu hata umfanyie wema gani atakuacha tu..
Arusha 2014 jirani yangu alikuwa anafanya kazi taasisi fulani, financially alikuwa yuko poa sana. Kulikuwa kuna binti alikuwa anakuja kwake mostly on weekends... Siku ndo akani tambulisha hii ni pisi yake ila inasoma mkoa x chuo kikuu mwaka wa pili... Miaka ikaenda ile pisi ikawa haionekani kumbe ilikuwa chuo.
Mambo yakaenda vibaya kwa yule dada alifeli chuo so hakuweza kumaliza chuo. familia ikamtema mazima kwamba atajua na maisha yake. Familia ilienda mbali na kumuambia pesa walizo nazo niza kusomesha wadogo wa yule binti. So binti akamshirikisha boyfriend wake ambaye ni jirani yangu. Jamaa akamuambia aje tu maana hata kwenda nyumbani aliogopa.
Basi jamaa kwa kujua one day in this life atakuwa mke wake, akalibeba lile jambo na kuamua kumpeleka chuo kikuu kimoja kiko Arusha, alim somesha, chakula, mavazi yaani kwa kifupi alikuwa mzazi na boyfriend at once. akawa anaenda chuo for all the three years tumekaa nae pale, ila this time alitoboa graduation kila kitu fresh. Walikuwa poa sana kiukweli, ilikuwa ni couple moja strong sana ile unajua demu aki graduate wanafunga ndoa.
Demu aliendelea kukaa pale hadi akapata nafasi katika kampuni flani hivi alianza kwa kujitolea baadae akapata ajira ya kudumu, ila kupatikana hii kazi ni kwa juhudi za huyu mwamba. sijui salary yake but alikuwa ana safiri sana. Matatizo ndo yakaanza kule ndani. Demu alikuja kubadilika ndugu zangu siyo poa, kama mara tatu wameshikiana visu mule ndani, alikuja kumuacha mwamba kama hamjui and familia ikamuambia arudi nyumbani huyo jamaa siyo mume wake.
Jamaa alifanya attempt kama mbili za kutaka kujiua, alikuja kuwa mtu wa pombe sana, sigara nyingi sana (wakati hakuwa mnywaji kivile, wala mvutaji wa sigara) alikuja kukonda, kwenda job late, ananukia na pombe, kwa kifupi aliyumba sana ile kampuni ilijaribu kumbeba sana because bosi pia alijua what he was going through. Alivyoachishwa kazi akaja kuniaga akarudi kwao. That brother he was torn apart because of love. he couldn't take it anymore... Dada yake alikuja kunipigia March 2023 the brother died. Yule dada yupo tu huwa namuona mjini na life lake tu.
Kwa kifupi after that scenario nimeona unaweza ukaigiziwa maisha vizuri tu, riziki ikapatikana zaidi kwa mke au mpenzi wako hamuwezi toboa tena...! Dharau zitaanza tu kama hiyo pisi ilishamrudia jamaa na lovebite. . . !
Hapo Dawa tafuta Hela Baadaye atakukumbuka tuuMiaka 5 nyuma nilipatwa na hiki kisa, sijui huwa kuna nini kinatokea kwa wenzetu naweza kusema alikuwa mke kabisa maana kwao walinifahamu posa na mahari nilishamaliza na watoto wawili nimemzalisha sasa kipindi chote hicho alikuwa anafanya shughuli ndogondogo tu.
Sasa ikatokea fursa sehemu nikamwambia mama kwa haya maisha tunayoishi itachukua muda kutoboa hapa ebu kamatia iyo fursa ya kazi tusaidizane bwana bwana bwana kumbe ndio nilikuwa namaliza familia yangu wakuu kitendo cha yeye kupata ile kazi tu na vile nilimtumia mtu ninayemjua ilikuwa rahisi sana kwake kutoboa.
Picha linaanza kwanza amepangiwa mkoani akili ikacheza mmh nikiwa nipo kwenye dilema ya maamuzi kwao wakawa wapo karibu nae zaidi na wakamwambia aende huko kwa kuwa watoto bado wadogo waende kwa bibi yao yaani mama yake hadi mambo yatakapokuwa sawa kule then awachukue.
Basi mwezi ukaisha mwezi wa pili mara miezi sita nikaanza kuona mapicha picha kwanza sikuwahi kuona hela yake ingawa alikuwa analipwa mara 4 ya mshahara wangu bado nilitakiwa kutuma pesa ya matumizi kwangu hakuwa shida maana naelewa mwanaume ndio mtunza familia kifedha.
Alifanikiwa kurudi kipindi cha mwanzo mwanzo tu tena akaniletea nyodo hatari stori zake sasa ooh mwaka huu nanunua gari sijui wewe umeshindwa hiki na kile nikitaka tunda anajivutaa nikajisemea hii ngoma ndio imeshavuja hapa. Kwakweli haikufika hata mwaka tukabwagana.
Hakuna kipindi nilikonda kama kipindi kile full mawazo alafu ndugu zake wananichora tu kenge wale!
ilibaki kidogo nidondoke nifeee!
Kuna mama mmoja mtu wa makamo akanifuata na kuniweka chini kisha akanipa ushauri mmoja wa nguvu sana akaniambia kijana wangu usiwe mnyonge hivyo tafuta mwanamke mdogo na mzuri kuliko mkeo then furahia maisha haya maisha ni mafupi sana na utamsahau.
Kwa kweli namshukuru sana yule mama maana from there maisha yalibadilika taratibu nilianza kumsahau yule mwanamke na mambo yake ingawa bado muda mwingine naumia ila ndio maisha isee
tuishi nao kwa akili!
Kwanini nimeleta huu uzi?
Nataka vijana wenzangu hasa hawa wadogo ambao wanajianda kuingia kwenye maisha ya familia wawe makini na kujitaidi wajipende na wao wasijitoe sana kwa ajili ya familia zao things change na maumivu utayopitia sio ya kawaida mm nilikuwa najiona mgumu nilikuwa nashangaa wanaume wanaolalamikia wake zao ila yalivyonikuta nilijishangaa najikaza ila uso na mwili vilijionyesha kuwa nipo kwenye maumivu jamani maumivu ya mahusiano hayaelezeki tena kwa sisi ambao tulishakuwa na familia utashangaa chakula hakipiti wala maji hayashuki.
Kuna bond inayojitengeneza ukishazoea kuwaona watu wako wa karibu kila siku kuitoa hiyo ni ngumu sana yaani kuna muda nilikuwa nikikaa hivi fikra za watoto wangu wapo mbali muda niliopoteza kuwa na mwanamke yule nilikuwa nafamilia ghafla naishi mwenyewe machozi yanatoka yenyewe tu.
Nashukuru sana gospel music inafariji sana.
Haya mambo ya kuwapa Wanawake mtaji wa biashara ni kama unaanza kumuondoa kuwa Mke wa wote.Kabisa, Nature ndivyo ilivyo.
Kuna mwamba yuko Kilimo, yeye alimkopea wife wake kama 40M. najua jamaa ni member hapa.
Sasa wife ana kismat cha biashara, 40M ikawa na faida sana!! (biashara ilitick) ndani ya miaka 3 tu mke wa jamaa akaanza kuleta mapicha picha, akawa anatuambia jamaa akiendelea kumsumbua atamrudishia mtaji wake kwani uwezo huo anao.
Kisa ni mshikaji kuanza kumkatalia mke kwenda kufuata mizigo huko far East.
Pesa ina kiburi.
Mungu saidia alimpa mke wa jamaa wazazi wenye akili na busara sana.
They played it very wise.
Ukipigwa tukio mara moja either la wewe kupigwa au kupiga red card,likitokea next time huwezi babaika.Huwa nawaangalia sana wale ndugu zangu wanaosema hawawezi kutetereshwa na mapenz/mwanamke hata iweje, huwa nawaza wao wamezaliwaje!?
Natamani sana niwe na moyo mgumu mambo yakuumia na mapenz yanaboa sana, sijaoa na sina hamu yakuoa kwa yaliyonitokea tu kwa mchumba bado npo nae ila namchukia.
Natamani hata tuachane nimsahau ila moyo bado umemkomalia tu huyu boya.
mambo yapi hayo mkuu fafanua,,na je ni mageni kwako au niwewe hujapenda tu!?Natoa rai kwa ndugu zetu waliojisahau na kuanza ku comment mambo yao binafsi kwenye hadhara......wajue kuwa huo sio uungwana......na kujidhalilisha.....faragha zipo.......inatukera kusoma mambo ambayo mlitakiwa myaone nyinyi wenyewe.........
Cc
Manyanza
Ms R
Kapeace
NB
Natanguliza radhi kama kwa namna moja au nyingine andiko hili litawakera.... tunakumbushana tu kibinadamu kwani naamini mmejisahau tu
much pain brotherExperience yangu hata umfanyie wema gani atakuacha tu..
Arusha 2014 jirani yangu alikuwa anafanya kazi taasisi fulani, financially alikuwa yuko poa sana. Kulikuwa kuna binti alikuwa anakuja kwake mostly on weekends... Siku ndo akani tambulisha hii ni pisi yake ila inasoma mkoa x chuo kikuu mwaka wa pili... Miaka ikaenda ile pisi ikawa haionekani kumbe ilikuwa chuo.
Mambo yakaenda vibaya kwa yule dada alifeli chuo so hakuweza kumaliza chuo. familia ikamtema mazima kwamba atajua na maisha yake. Familia ilienda mbali na kumuambia pesa walizo nazo niza kusomesha wadogo wa yule binti. So binti akamshirikisha boyfriend wake ambaye ni jirani yangu. Jamaa akamuambia aje tu maana hata kwenda nyumbani aliogopa.
Basi jamaa kwa kujua one day in this life atakuwa mke wake, akalibeba lile jambo na kuamua kumpeleka chuo kikuu kimoja kiko Arusha, alim somesha, chakula, mavazi yaani kwa kifupi alikuwa mzazi na boyfriend at once. akawa anaenda chuo for all the three years tumekaa nae pale, ila this time alitoboa graduation kila kitu fresh. Walikuwa poa sana kiukweli, ilikuwa ni couple moja strong sana ile unajua demu aki graduate wanafunga ndoa.
Demu aliendelea kukaa pale hadi akapata nafasi katika kampuni flani hivi alianza kwa kujitolea baadae akapata ajira ya kudumu, ila kupatikana hii kazi ni kwa juhudi za huyu mwamba. sijui salary yake but alikuwa ana safiri sana. Matatizo ndo yakaanza kule ndani. Demu alikuja kubadilika ndugu zangu siyo poa, kama mara tatu wameshikiana visu mule ndani, alikuja kumuacha mwamba kama hamjui and familia ikamuambia arudi nyumbani huyo jamaa siyo mume wake.
Jamaa alifanya attempt kama mbili za kutaka kujiua, alikuja kuwa mtu wa pombe sana, sigara nyingi sana (wakati hakuwa mnywaji kivile, wala mvutaji wa sigara) alikuja kukonda, kwenda job late, ananukia na pombe, kwa kifupi aliyumba sana ile kampuni ilijaribu kumbeba sana because bosi pia alijua what he was going through. Alivyoachishwa kazi akaja kuniaga akarudi kwao. That brother he was torn apart because of love. he couldn't take it anymore... Dada yake alikuja kunipigia March 2023 the brother died. Yule dada yupo tu huwa namuona mjini na life lake tu.
Kwa kifupi after that scenario nimeona unaweza ukaigiziwa maisha vizuri tu, riziki ikapatikana zaidi kwa mke au mpenzi wako hamuwezi toboa tena...! Dharau zitaanza tu kama hiyo pisi ilishamrudia jamaa na lovebite. . . !
Mimi 2022 yalitokea haya,sasa hivi anajipendekeza kunitumia miamala,nakula namkaushia.Hakika, hili hata mie limenikuta, mwanamke kajipata, kanitupa na akanisagia kunguni kwao, ukoo wote mwanamke ukanichukia kwa mambo ya uwongo..
Mi umenikera au labda umenitag kwa bahati mbaya, soma post zangu vizuri kwenye hii mada, waliotoka nje ya mada wameelezwa na kuelewa vizuri bila tatizo, wewe sasa ili usipitwe na kiherehere unarudisha mjadala ulioisha,Natoa rai kwa ndugu zetu waliojisahau na kuanza ku comment mambo yao binafsi kwenye hadhara......wajue kuwa huo sio uungwana......na kujidhalilisha.....faragha zipo.......inatukera kusoma mambo ambayo mlitakiwa myaone nyinyi wenyewe.........
Cc
Manyanza
Ms R
Kapeace
NB
Natanguliza radhi kama kwa namna moja au nyingine andiko hili litawakera.... tunakumbushana tu kibinadamu kwani naamini mmejisahau tu
Mimi ni mwislam, ningalikuwa mkristo ningeshuhudia. Ila kwa vile wengi humu husema taarifa bila picha ni chai. Nitakuomba ukiwa huko wapige picha ili wabishi wa JF washuhudie. Arena of Holy Sprit - kitu kama hicho.Nitakuwepo ibadani kushuhudia haya mambo mazuri.