Leo nimekumbuka namna mpenzi/ mama wa watoto wangu alipoanza kunishinda kipato baada ya kupata kazi kila kitu kikaparaganyika

Hivi naanzaje kuumia kwa ajili ya mtu??

Kwanza nikishaona dalili tu nakufukuza dakika sifuri.

Sivumilii na siko tayari kuumizwa na mtu awaye yeyote.

I am so important and special, kwanza sikuja duniani kulilia vinyeo vya wanawake au miboro ya wanaume. HAPA KAZI TU.

Yaani niliee kabisa??? Mimi? Kwa ajili ya mtu? Hehehee... fyekelea mbali!

Cc: Extrovert Lamomy stress the challengerr The Mongolian Savage adriz Mufti kuku The Infinity. The Stress Challengerr Depal Yohimbe bark Mzee wa kupambania dronedrake Poor Brain fundi bishoo
 
Naam umenena vema mkuu
 
Pole
 
Umesema yotee...wanawake tuna vifua Sana vya handle skendo zaooo na huwa wanatuchukulia poa Sana...
 
Pole sana mkuu
 
Yani demu akishashika mawe ni mzozo mwaka jana kuna demu nilitoka nae kimahusiano si akapata ka uteuzi katika serikali ya bi Hangaya kutoka afisa mpka mteule mara anaendeshwa na magari ya wasojulikana though na mimi na kaz yangu nzuri tu private aisee nlichezea za mandonga.

Kimsingi tulichokuja kushindwana demu alikua analeta mamlaka nyumbani😂😂😂 mimi nmwambia kama ww ni Sekali na ni Mamlaka mimi ni kiti na mume wa Serikali ndo mimi. Nikawa namsisitiza akinioa mchana namuoa Usiku au akija kwangu kwa hyo hana cha kunitisha Aisee hyu demu wazee nlkua nshamtambulisha sema mamlaka na Pesa zilitutenganisha 😥😥 nikaona acha ni reduce circle.

Ila Popte ulipo dear xxxee Mh. Nakupa mizinga yako 10 siyo kwa koki ya maji💦💦💦 yale ulokua ukiyafungulia kitandani ulinibless sna. Kazi iendelee😁😁😁
 
Heeee
Mtunzie siri Mwenzako.. na wewe., Koki za maji ??hio ni siri yako na yeye
 
Hii stori umeniumiza sana, wanawake ni wafuasi wa nyoka hata maandiko yamesema. Kikubwa tuishi nao kwa akili. Huyo alikua hakupendi wewe alipenda mali zako ingawa bado ulikua unajitafuta ila it seems aliona kitu kwako, na trust me uliliona hili mwanzo lkn ulipuuza wanawake watukupa kila sign kama hawakupendi ila uking'ang'ania ndo hivyo tena unakuwa umeshaingia mkenge. Hilo ni funzo angalia mtu anayekupenda wewe na sio vitu ama maisha uishiyo
 
mr kuo nakushauri tu oa mwanamke mwingine achana na huyo mbwa... utakuja kunishukuru usije kumdhuru
 
Aliyeacha kazi ni mwanamke mwenyewe,kasomeshwa kapata kazi ila kakimbilia Dar kwa Injinia..Mwanaume anaendelea na kazi ingawa imemuathiri sana kisaikolojia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…