Leo nimekumbuka namna mpenzi/ mama wa watoto wangu alipoanza kunishinda kipato baada ya kupata kazi kila kitu kikaparaganyika

Leo nimekumbuka namna mpenzi/ mama wa watoto wangu alipoanza kunishinda kipato baada ya kupata kazi kila kitu kikaparaganyika

Miaka 5 nyuma nilipatwa na hiki kisa, sijui huwa kuna nini kinatokea kwa wenzetu naweza kusema alikuwa mke kabisa maana kwao walinifahamu posa na mahari nilishamaliza na watoto wawili nimemzalisha sasa kipindi chote hicho alikuwa anafanya shughuli ndogondogo tu.

Sasa ikatokea fursa sehemu nikamwambia mama kwa haya maisha tunayoishi itachukua muda kutoboa hapa ebu kamatia iyo fursa ya kazi tusaidizane bwana bwana bwana kumbe ndio nilikuwa namaliza familia yangu wakuu kitendo cha yeye kupata ile kazi tu na vile nilimtumia mtu ninayemjua ilikuwa rahisi sana kwake kutoboa.

Picha linaanza kwanza amepangiwa mkoani akili ikacheza mmh nikiwa nipo kwenye dilema ya maamuzi kwao wakawa wapo karibu nae zaidi na wakamwambia aende huko kwa kuwa watoto bado wadogo waende kwa bibi yao yaani mama yake hadi mambo yatakapokuwa sawa kule then awachukue.

Basi mwezi ukaisha mwezi wa pili mara miezi sita nikaanza kuona mapicha picha kwanza sikuwahi kuona hela yake ingawa alikuwa analipwa mara 4 ya mshahara wangu bado nilitakiwa kutuma pesa ya matumizi kwangu hakuwa shida maana naelewa mwanaume ndio mtunza familia kifedha.

Alifanikiwa kurudi kipindi cha mwanzo mwanzo tu tena akaniletea nyodo hatari stori zake sasa ooh mwaka huu nanunua gari sijui wewe umeshindwa hiki na kile nikitaka tunda anajivutaa nikajisemea hii ngoma ndio imeshavuja hapa. Kwakweli haikufika hata mwaka tukabwagana.

Hakuna kipindi nilikonda kama kipindi kile full mawazo alafu ndugu zake wananichora tu kenge wale!
ilibaki kidogo nidondoke nifeee!

Kuna mama mmoja mtu wa makamo akanifuata na kuniweka chini kisha akanipa ushauri mmoja wa nguvu sana akaniambia kijana wangu usiwe mnyonge hivyo tafuta mwanamke mdogo na mzuri kuliko mkeo then furahia maisha haya maisha ni mafupi sana na utamsahau.

Kwa kweli namshukuru sana yule mama maana from there maisha yalibadilika taratibu nilianza kumsahau yule mwanamke na mambo yake ingawa bado muda mwingine naumia ila ndio maisha isee
tuishi nao kwa akili!

Kwanini nimeleta huu uzi?
Nataka vijana wenzangu hasa hawa wadogo ambao wanajianda kuingia kwenye maisha ya familia wawe makini na kujitaidi wajipende na wao wasijitoe sana kwa ajili ya familia zao things change na maumivu utayopitia sio ya kawaida mm nilikuwa najiona mgumu nilikuwa nashangaa wanaume wanaolalamikia wake zao ila yalivyonikuta nilijishangaa najikaza ila uso na mwili vilijionyesha kuwa nipo kwenye maumivu jamani maumivu ya mahusiano hayaelezeki tena kwa sisi ambao tulishakuwa na familia utashangaa chakula hakipiti wala maji hayashuki.

Kuna bond inayojitengeneza ukishazoea kuwaona watu wako wa karibu kila siku kuitoa hiyo ni ngumu sana yaani kuna muda nilikuwa nikikaa hivi fikra za watoto wangu wapo mbali muda niliopoteza kuwa na mwanamke yule nilikuwa nafamilia ghafla naishi mwenyewe machozi yanatoka yenyewe tu.

Nashukuru sana gospel music inafariji sana.
Tambua kitu kimoja kikubwa,mwanadamu ni mbinafsi sana tena mno,ila mwanaume anahuruma kwa familia yake,mwanamke anaweza asimpende hata mwanae wakumzaa hio ni saikolojia yao and katika kiwango cha ubinafsi wao wanaumimi sana kuliko usisi. Kwakujua hilo wapende kwa kiwango and jipende mwenyewe pia
 
Experience yangu hata umfanyie wema gani atakuacha tu..
Arusha 2014 jirani yangu alikuwa anafanya kazi taasisi fulani, financially alikuwa yuko poa sana. Kulikuwa kuna binti alikuwa anakuja kwake mostly on weekends... Siku ndo akani tambulisha hii ni pisi yake ila inasoma mkoa x chuo kikuu mwaka wa pili... Miaka ikaenda ile pisi ikawa haionekani kumbe ilikuwa chuo.
Mambo yakaenda vibaya kwa yule dada alifeli chuo so hakuweza kumaliza chuo. familia ikamtema mazima kwamba atajua na maisha yake. Familia ilienda mbali na kumuambia pesa walizo nazo niza kusomesha wadogo wa yule binti. So binti akamshirikisha boyfriend wake ambaye ni jirani yangu. Jamaa akamuambia aje tu maana hata kwenda nyumbani aliogopa.
Basi jamaa kwa kujua one day in this life atakuwa mke wake, akalibeba lile jambo na kuamua kumpeleka chuo kikuu kimoja kiko Arusha, alim somesha, chakula, mavazi yaani kwa kifupi alikuwa mzazi na boyfriend at once. akawa anaenda chuo for all the three years tumekaa nae pale, ila this time alitoboa graduation kila kitu fresh. Walikuwa poa sana kiukweli, ilikuwa ni couple moja strong sana ile unajua demu aki graduate wanafunga ndoa.
Demu aliendelea kukaa pale hadi akapata nafasi katika kampuni flani hivi alianza kwa kujitolea baadae akapata ajira ya kudumu, ila kupatikana hii kazi ni kwa juhudi za huyu mwamba. sijui salary yake but alikuwa ana safiri sana. Matatizo ndo yakaanza kule ndani. Demu alikuja kubadilika ndugu zangu siyo poa, kama mara tatu wameshikiana visu mule ndani, alikuja kumuacha mwamba kama hamjui and familia ikamuambia arudi nyumbani huyo jamaa siyo mume wake.
Jamaa alifanya attempt kama mbili za kutaka kujiua, alikuja kuwa mtu wa pombe sana, sigara nyingi sana (wakati hakuwa mnywaji kivile, wala mvutaji wa sigara) alikuja kukonda, kwenda job late, ananukia na pombe, kwa kifupi aliyumba sana ile kampuni ilijaribu kumbeba sana because bosi pia alijua what he was going through. Alivyoachishwa kazi akaja kuniaga akarudi kwao. That brother he was torn apart because of love. he couldn't take it anymore... Dada yake alikuja kunipigia March 2023 the brother died. Yule dada yupo tu huwa namuona mjini na life lake tu.
Kwa kifupi after that scenario nimeona unaweza ukaigiziwa maisha vizuri tu, riziki ikapatikana zaidi kwa mke au mpenzi wako hamuwezi toboa tena...! Dharau zitaanza tu kama hiyo pisi ilishamrudia jamaa na lovebite. . . !
Pole yake,usimwonee mwanamke huruma
 
Mwanaume, ukitaka kufurahia maisha ya ndoa, oa Mwanamke anayekupenda. Usioe Mwanamke unayempenda. Narudia tena, subiri upendwe, wewe mwanaume kaa upande wa kupendwa na sio upande wa kupenda.

If you know, you know.
 
Pesa hazikumbadilisha ila alikuwa hakupenzi ila kwakuwa ana njaa akavumilia. Alivyoshiba ilibidi awe mkweli.
 
Experience yangu hata umfanyie wema gani atakuacha tu..
Arusha 2014 jirani yangu alikuwa anafanya kazi taasisi fulani, financially alikuwa yuko poa sana. Kulikuwa kuna binti alikuwa anakuja kwake mostly on weekends... Siku ndo akani tambulisha hii ni pisi yake ila inasoma mkoa x chuo kikuu mwaka wa pili... Miaka ikaenda ile pisi ikawa haionekani kumbe ilikuwa chuo.
Mambo yakaenda vibaya kwa yule dada alifeli chuo so hakuweza kumaliza chuo. familia ikamtema mazima kwamba atajua na maisha yake. Familia ilienda mbali na kumuambia pesa walizo nazo niza kusomesha wadogo wa yule binti. So binti akamshirikisha boyfriend wake ambaye ni jirani yangu. Jamaa akamuambia aje tu maana hata kwenda nyumbani aliogopa.
Basi jamaa kwa kujua one day in this life atakuwa mke wake, akalibeba lile jambo na kuamua kumpeleka chuo kikuu kimoja kiko Arusha, alim somesha, chakula, mavazi yaani kwa kifupi alikuwa mzazi na boyfriend at once. akawa anaenda chuo for all the three years tumekaa nae pale, ila this time alitoboa graduation kila kitu fresh. Walikuwa poa sana kiukweli, ilikuwa ni couple moja strong sana ile unajua demu aki graduate wanafunga ndoa.
Demu aliendelea kukaa pale hadi akapata nafasi katika kampuni flani hivi alianza kwa kujitolea baadae akapata ajira ya kudumu, ila kupatikana hii kazi ni kwa juhudi za huyu mwamba. sijui salary yake but alikuwa ana safiri sana. Matatizo ndo yakaanza kule ndani. Demu alikuja kubadilika ndugu zangu siyo poa, kama mara tatu wameshikiana visu mule ndani, alikuja kumuacha mwamba kama hamjui and familia ikamuambia arudi nyumbani huyo jamaa siyo mume wake.
Jamaa alifanya attempt kama mbili za kutaka kujiua, alikuja kuwa mtu wa pombe sana, sigara nyingi sana (wakati hakuwa mnywaji kivile, wala mvutaji wa sigara) alikuja kukonda, kwenda job late, ananukia na pombe, kwa kifupi aliyumba sana ile kampuni ilijaribu kumbeba sana because bosi pia alijua what he was going through. Alivyoachishwa kazi akaja kuniaga akarudi kwao. That brother he was torn apart because of love. he couldn't take it anymore... Dada yake alikuja kunipigia March 2023 the brother died. Yule dada yupo tu huwa namuona mjini na life lake tu.
Kwa kifupi after that scenario nimeona unaweza ukaigiziwa maisha vizuri tu, riziki ikapatikana zaidi kwa mke au mpenzi wako hamuwezi toboa tena...! Dharau zitaanza tu kama hiyo pisi ilishamrudia jamaa na lovebite. . . !
Ukumsaidia mwanamke kutoboa akipanda level ataanza kujiuliza why yupo na mtu kama wewe na sio mtu wa level ya juu yake. Hypergamy hiyo.

Nilikuwa na demu kwenye baby walker barabara kubwa, kwenye foleni ikaja Land cruiser Prado, demu kaitazama bila aibu akanambia ile ndio gari na anatamani kumiliki kama ile one day.

Nikamtazama nikimtathimini. Sasa nikawaza, yeye wazazi wake wapo mkoani ni wa kulima wa kilimo cha kujitosheleza na wafugaji wa ng'ombe na mbuzi chache kwa matumizi ya nyumbani, hawana hata pikipiki. Leo uongee maneno ya namna hiyo kwangu kijana nimejitafuta ya afadhali nina baby walker nimepiga hatua.

Nimekupa heshima ya kuwa ubavu wangu tufurahie maisha na haka ka'baby walker wakati tukijipanga kupata gari nzuri zaidi kwa macho na akili ya tamaa unapoint gari milioni 100 na ushee, matako yako unaweza hata mudu kununua bajaji takataka kabisa.

Nilijisikia fedheha sana siku ile na nikaona watoto wa kike wa siku hizi wanalelewa maisha ya kuamini wanaweza kupata chochote wanachotaka bila kujali kwa namna gani ila somehow watakipata sababu wana miili yao na itawapa access ya kukipata. Nikamdharau na tokea siku ile nikawa nimemgeuza side chick bila kujua na sikuwa nimemuweka kichwani tena nilimuweka kwenye pumbu, nikiwa na hamu ya kungonoka namuwaza yeye sana nikiwa sina hamu nasahau kama yupo.

Vijinga sana hivi vibinti vya siku hizi. Tamaa mbele mauti ya kiroho na kimwili yafuata.
 
Seems we have the common stand.

Unakutana na mwanamke unamwambia mimi bado sijafanikiwa, anakwambia fanikiwa kwanza.

Nikishafanikiwa sijaoa, sitahitaji ndoa
Vijana wengi wa kisasa especially uzao wa kuanzia miaka ya 1980's wana struggle na mahusiano na kushindwana na ndoa kwasababu mabinti hawakuwa programed kuishi na kutumikia ndoa ila walikuwa programed kutaka mafao au vile vinavyopatikana ndoani kisha wajitegemee.

Simple observation ni kwann mafanikio yakishapatikana mwanamke anakuwa hajali watoto wala mume anachotaka ni mgao wake?

Tazama hata kesi nyingi za talaka ni aidha mke anataka mgao wa mali anazomiliki na mumewe au atataka talaka ya haraka kama ameshabadilisha maisha yake na anaona anaweza kujimudu kuishi mwenyewe na kutengeneza pesa yake hata kama ni kidogo. Yaani ni ushamba fulani na ulimbukeni wanaojiaminisha wakidhania Maisha haya wanaume bila wanawake hawataweza fanya chochote cha maendeleo na pia wana ile hofu ya kujipa kuwa mwanaume somehow kwasababu zisizojulikana atakuja msaliti huko mbeleni au atakuja mpiga matukio ikiwamo kumfilisi, kumdhurumu mali, kumreplace na binti mpya tena mbichi, na kadhalika.

Sasa mwanaume ambaye anatumia akili kwanza usiingie katika ndoa kwa maudhui au kujiaminishi upo na soulmate au mtu ambaye atakuwa na wewe bega kwa bega, NO. Wewe ingia lakini jua ni 100% wewe tu, huyo unaingia nae ni kama assistant wa kukusaidia kufanya mbili tatu za ndoani ikiwamo kukulelea watoto wako, na msiri wa mambo yako, ila achana na mbaga za kumu empower awe independent ili aje kuwa msaada, jua utakuja kulia mbeleni.

Jambo lingine, mapenzi ya kweli ni story ya kusadikika kwasababu wanawake wa sasa wapo loyal to their feelings tu nothing else, wanaweza sacrifice hata mtoto wake wa kumzaa kwa furaha yake, so usiumize kichwa chako kutaka akupe wewe priority kujizidi. Wewe mtumie kadiri ya uwezavyo kwa faida zako, ukiona kabisa hili jambo litakwenda kumpa nguvu na mafanikio makubwa usije ukamsapoti unless unataka kumpoteza, otherwise msapoti kwasababu ni mama watoto wako ila kama ni manzi tu trust me atafungua kurasa mpya ya kwake pekee yake huku bado mkiwa hamjamaliza kuandika kurasa yenu ya pamoja.

Kimsingi fanya plans ziwe ni module yako wewe yeye akija awe assistant tu, asiwe partner wala associates, wala manager. Panga kinachokwenda na mindset yako. Acha kutoa share ya umiliki wala authority kwake utakuja kulia.
 
Pole sana mkuu,
Pesa hubadilisha akil ya mwanamke [emoji817].

Kwa sisi wanaume hatubadlk hata tupate u billionaire tutabak na wanawake/wake zetu.
Sio wakurya
Mabingwa kutelekeza wake zao na kuwanyanyasa hawa watu wakijipata
 
Ndio maana kaka yangu mdogo na 40+ yake hataki kuoa,mwanamke aliyetaka amuoe kamgharamia nusu ya gharama za chuo lakini alipopata kazi kamkimbia. Sasa ana mtoto kazaa na mwanamke mwingine anamlea yeye mwenyewe,alipitia katika hali ngumu sana ila kwa sasa ana ajira yake kwenye shirika moja la umma,amejenga nyumba ila suala la ndoa hataki kusikia kabisa.
Na nina kaka mwingine tumezaliwa mama tofauti,yeye kaoa mwanamke akaamua kumsomesha,akaajiriwa serikalini lakini baadae mwanamke akaamua kumkimbia akakimbilia Dar alipata Injinia wa Ujenzi(wale jamaa wa vimacho vidogo akina Chang Chung),sasa jamaa mkataba ukawa umeisha akarudi kwao,mwanamke akaona hapa sirudi mkoani,akapata Injina mbongo ambaye yupo nae hadi sasa na amemzalisha mtoto,na kwa kiburi akarudi mkoani kusalimia akaenda kumsalimia Bro na kumuonesha mwanae aliyempata Dar. Kazi kaacha,akiitwa halmashauri aje atoe maelezo kwa nini haonekani kazini anakataa kwenda..Akina Delila hawa sijui wanataka nini?
Mmhhhh
 
Back
Top Bottom