Leo nimekutana na m-Niger. Napongeza na naunga mkono mapinduzi yalifanywa na Jeshi.

Leo nimekutana na m-Niger. Napongeza na naunga mkono mapinduzi yalifanywa na Jeshi.

Hamna bana jamaa yuko deep sana halafu ni msomi na umri umeenda nadhani early 50s yuko ulaya toka 1994 anaondoka na kurudi.

Europe is turning right. Mahafidhina yanachukua mamlaka na hayatupendi.

Mfano Sweden ilikuwa very welcoming l. Sasa hivi its turning right. Denmark kama kawaii toka zamani wanabana.

Kwa jinsi tulivuo inabidi kuanza kwa kushikwa mkono na kupigwa tafu. Kumbuka hawa weupe toka karne kadhaa walikuwa na wameendelea
Km kila kitengo watu wanaweka ela mfukoni basi hata mshikwe makalio hamuend popote
 
Sijachanganya Mkuu, naelewa vizuri sana. Maana kuna wabongo huwa wanadhani hata Nigeria mambo mazuri, kumbe maisha yako ni mtiti kwelikweli
Kwa Nigeria kutoboa lzm uwe na akili kubwa sio km bongolala unaweza toboa kirahis
 
Kwa Nigeria kutoboa lzm uwe na akili kubwa sio km bongolala unaweza toboa kirahis
Inakuwaje mim nakula msoto licha ya majaribio mengi tu ninayofanya???

Kwan wew unazungumzia bongo ipi ambayo kutoboa ganda la ndizi???
 
binafsi niliona mapinduzi ni ufala ila nilipokuja kupata details za ndani kbs wafaransa na magharibi kwa ujumla wanachowafanyia Waniger ( siyo Niger tu Afrika nzima ndio mtindo wao kuweka vibaraka wao ) ni dhulma ya kufuru


Yaani marais wetu wapo radhi wananchi wafe lkn maslahi ya wazungu yalindwe, maslahi ya magharibi ni kipaumbele cha kwanza kbs
 
Tatizo la mwafrika ni akili, leo hii anamfukuza Mfaransa utaskia kamkaribisha Mrusi, kumbe wote ndio walewale tu. Binafsi simwamini mtu mweupe wa aina yoyote ile kwenye biashara na mtu mweusi.
Mrusi hana njaa na ghafi. Na afrika ni tajiri wa ghafi. Nadhani umenielewa. Mrusi ye anachotaka ni kuungwa mkono tu. Yaani muonekane mko na yeye basi. Mnakula mema ya nchi. Kama ni mwanamke anataka tu mapenzi ya kweli siyo pesa
 
Nzuri hii ila tatizo bado lipo kwetu waafrika, hatuna umoja bado tuna njaa kali sana, yaani njaa tuliyo nayo kuna watu wanajua wapi waweke chakula na kukiacha wakijua kitaliwa tu.

Hii ndiyo ngozi nyeusi bana, ngozi ambayo ulaya huko wanasema hapo kabla alikuwa sokwe 😄, ngozi ambayo ina roho ngumu na roho mbaya kweli kweli.

Mwafrika ana njaa anapewa chakula na kuambiwa kamuuwe yule mwafrika.

Shbmt !.
 
Back
Top Bottom