Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
So anatafutwa wa kudangwa au..π"Hili ni tangazo la kimkakati"
View attachment 1926686
Mimi sijui bana hao jamaa hapo ndio wananong'onezana.So anatafutwa wa kudangwa au..π
Hapana ni kweli"Hili ni tangazo la kimkakati"
View attachment 1926686
Humu nilikuwa doubleKila mwanamke yuko 'single' inategemeana kakutana na nani.
Wewee miye nina majonzi so usinitanieSo anatafutwa wa kudangwa au..π
Una miaka mingapi? Kuna jamaa anatafuta mwanamke wa kuoa ila vigezo awe na elimu ya Diploma na umri usiozidi miaka 32.Humu nilikuwa double
Hayo ni ya kawaida ,ss iv n piga nikupigeKiukweli mpenzi wangu nilimpenda bali nilikuwa mbali naye .
Ila nilichogundua sikuwa serious basi
Leo kaenda na kilichoniponza ni kuwa humu nachart chart umbeya naumbeya huu umeniharibia penzi lakudumu.
Ila kwangu nipoa sina chakufanya huenda hakuwa wangu alikuwa wajirani.
Ila Mungu yupo nitaolewa na huyu mpakistani tu sina jinsi nilichezea dodo lililoiva nakudondokea kwangu nipo serious nilimpenda .
Ila kwa leo nimelimwa ratoo.
Sasa mie single tena kwa hapa tz .
Nashangaa tu.
Nahesabu mabati .
Bila kusahau na tozoDanga nipo hapa nasubir kutuma na ya kutolea
Humu nilikuwa double