Bro Game of throne walio wengi Huwa hawaielewi lakini Kwa walio ielewa ni TV SHOW Kali sana sana. For now naangalia BREAKING BAD lakini sijaona chochote Cha special mpaka Sasa nimemaliza season 1.Got haina uhalisia kama BB.
Toka nije huku dunianiBREAKING BAD ndo series bora zaidi kuwahi kuitazama toka nije huku duniani.
Dark comedy..
Chemistry.
Hii series nilianza kuicheki for the first time in my life nikamaliza season 1 within a one night.
Kazi nzuri sana ya fasihi.
Now naitizama NARCOS ya Pablo Escobar.
Toka nije huku duniani
Kwani ulikuwa wapi
Narcos ni kali?? Mi nnayo ila nmeshindwa kuiangalia kila nkianza nasinziaBREAKING BAD ndo series bora zaidi kuwahi kuitazama toka nije huku duniani.
Dark comedy..
Chemistry.
Hii series nilianza kuicheki for the first time in my life nikamaliza season 1 within a one night.
Kazi nzuri sana ya fasihi.
Now naitizama NARCOS ya Pablo Escobar.
Pole sisterNarcos ni kali?? Mi nnayo ila nmeshindwa kuiangalia kila nkianza nasinzia
Kwenye mbupu za baba angu🤣🤣🤣🤣🤣Toka nije huku duniani
Kwani ulikuwa wapi 😂😂🤣🙌
Narcos ni kali?? Mi nnayo ila nmeshindwa kuiangalia kila nkianza nasinzikun amda inakuwa tamu balaa
🤣🤣🤣🙌Kwenye mbupu za baba angu🤣🤣🤣🤣🤣
Endelea tu mkuu. Breaking Bad inaanza slow, lakini kadri unavyoendelea ndio inavyokuwa kali. Hata mimi nilipata shida nilipoanza S1, lakini nilivyozidi kwenda nayo niliifurahia sana.Bro Game of throne walio wengi Huwa hawaielewi lakini Kwa walio ielewa ni TV SHOW Kali sana sana. For now naangalia BREAKING BAD lakini sijaona chochote Cha special mpaka Sasa nimemaliza season 1.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahahaKuna namna yoyote Yanga wanaweza kuitumia kushinda Algeria ?