winlicious
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,006
- 1,151
- Thread starter
-
- #21
yan weweAcha uchoyo naww kizuri kula na ndguyo. Kwan kaimaliza mashine dada wa watu? Si amekunwa kidogo na amekuachia naww?
Wanawake mbona wachoyo mnataka mule peke yenu? Haa!
Sitetei hiko kidume
lakini naona amejikuta katika mazingira magumu
wewe anakuhitaji for future
lakini at the moment anahitaji mtu wa kumpikia na kumuandalia vitu asubuhi
na kumtoa uchovu usiku.....
huku wewe unakuja asubuhi na mnaendelea na mipango ya future...
mwenzio hana ofisi ya kwenda so kampa ubize wa kiaina...
huku wewe anakusubiri for future
tatzm mkiwa nacho mnajisahau namna ya kukitunza ndio maana tunaamua kutafuta kipya kinyemi.
nitumie tu nasubiriNikutumie Namba Yangu Ili Uje Utoe Hizo HASIRA Zako, Nikukatie VIUNO Vyangu Vya SELFIE Ya KOFFI OLOMIDE Kisha Jamaa Nae Aje ATUFAMINIE Ili Mechi Iwe Draw?
najitahidi kila ktu my dear na pia najitahidi sana kuwa real kwake but ndio hivyo tu
Hamna hata kipya kinyemi wala nini hapa nilipo nna maumivu ya moyo karibu mwezi mzima, unampenda mtu unamthamini kwa kila kitu na bado mnafanya kazi ofisi moja anatongoza wengine inaumiza sana sijui kwann Hamna ubinadamu, bora umwambie mtu kama umuhitaji tena kuliko kumuumiza bila sababu
Msamehe...shetani tu kampitia
umeongea kweli tupu. Nini yeye kilimzuia kwenda kumpikia na kumuandalia maji ya kuoga mme wake?
Hakuna kitu kina kera kwa mwanaume umetoka kazn, unatakiwa uoshe vyombo na upike. Kero iko hapo
najitahidi kila ktu my dear na pia najitahidi sana kuwa real kwake but ndio hivyo tu
huwa najitahidi kumfanyia vyote hivyo na hata Jana nlitaka nkafanye usafi bt a akachenga chenga kunipa funguo kumbe ndo alikua na miadi na kile kibinti
ushasema mtoto, na sio mwanaume!!!!!!!!!!!mtoto akishiba hali kwa jirani.