Leo nimemfumania live bila chenga

Leo nimemfumania live bila chenga

hapa simu ina mafuriko ya msg zake, mmmh naona kaamua kunifuata ofisini namuona hapa kwenye vioo anakuja

Sasa huko ndiyo kumfumania mtu bila chenga, nikajua umemfumania kitu kipo ndani ya papuchi
.
.ila endelea kutupa updates akiingia hapo ofisin teh teh
 
Habari wana MMU,

Nina mpenzi wangu ambaye tuna muda kidogo. Hapa kati niligundua anachepuka baada ya kuona msg kwenye simu yake,nilipomuuliza akakataa katakata na ugomvi juu nkajishusha yakaisha but moyoni mwangu nlikua namchunguza kimya kimya.

Kwa kawaida huwa tunapitiana asbh kwenda kazini kwan ofisi zetu zipo karibu, basi Leo nimeenda kama kawa nikagonga but hakufungua ila nilisikia movement ndani ameamka akawasha gesi na kubandika Maji ya kuoga basi nikajua atafungua mlango, nikaona kimya ila machale yakanicheza nikapanga kukaa nje mpaka nione mwisho, simu zangu nikaweka silent baada ya dk 40 hivi nikasikia sauti ya mwanamke ndani kumbe ndo alikua anamwandalia maji.

Ile kufungua mlango akakutana na macho yangu makavu nikamsalimia nikaingia chumbani nikamsalimia binti nikarudi kukaa sebuleni, bidada akanikaribisha kwa adabu zote nikamwambia apumzike tu asijali, kaka katoka kuoga anajishaua kuniuliza eti kwanini sijaenda kazini nimesimama tu nje m sikumjibu ktu akaingia rum kuvaa mi nimekaa tu sebuleni.

Sikutaka ugomvi kiukweli coz najijua hasira zangu ningechoma mtu kisu bure, basi bidada akavaa nguo huyo akaondoka na akaniaga eti Dada bye nikamwambia ok karibu tena! Alipoondoka nikamuuliza is it me or her akakosa jibu, nikaondoka zangu!

Now msg kibao za maelezo mimi sijajibu hata moja, hivi wanaume kwanini hamtosheki jamani? Bora nibaki single tu kuliko kuleteana magonjwa
Usikubali rushwa rushwa kama mpira wa kona, fanya maamuzi magumu.
 
pole sana. kama nakuona hapo unaagwa bai dada nawe unajibu aya karibu tena.

dunia uwanja wa fujo kiukweli
 
kachek afya kama upo fresh...endelea na maisha yako achana na huyo jamaa
 
Tupe updates, anasemaje hapo ofisin?
 
Tupe updates, anasemaje hapo ofisin?

kafika hapa nmezuga kama sijamuona, akaanza kupiga stori na shost Wangu Mimi kama sipo vile, akanitext anaomba tutoke nje tuongee sijamjibu kitu nikaendelea na kazi. Kaondoka kwa huzuni ila ameomba tuongee jioni
 
pole sana. kama nakuona hapo unaagwa bai dada nawe unajibu aya karibu tena.

dunia uwanja wa fujo kiukweli
yani nlikua nmefura hasira but nikatulia tulii yani sijui kwann nilikua mpole vile
 
siku moja wifi yako, aliwahi kuniambia kuwa wewe hata nikupe m,k,u,n,d,u, hauliziki. nilibaki nacheka ile mbaya, ila makavu aliyonipa yaliniingia.
 
Wewe ni mmoja kati ya mamia kwa uvumilivu. Hongera.

Sikubaliani na wewe kuwa wanaume wote tuko sawa. Hilo sio sahihi.

Najua utamsamehe tu!
Ila ukifanya hivyo sasa, atakuona maziwa lala.
La msingi ni chukua muda wa miezi 3 uishi bila kumpigia wala kujibu sms zake.

Kama ataendelea kukusumbua day and night for 3 months na uone seriousness ya how sorry he is msamehe.

Contrally, tafuta mwingine lakini usimpe papuchi unless uko sure he'll put a ring on your finger.
Sababu wanaume wengi tunapenda hiyo papuchi na we can go even an extra mile ndio tuipate!
 
Okey.... Ukihitaji msaada wa mawazo usisite. Amekukosea pakubwa huyoo..
kafika hapa nmezuga kama sijamuona, akaanza kupiga stori na shost Wangu Mimi kama sipo vile, akanitext anaomba tutoke nje tuongee sijamjibu kitu nikaendelea na kazi. Kaondoka kwa huzuni ila ameomba tuongee jioni
 
Umefanya vizuri kutokuanzisha varangati??kama ulishamuuliza kati yako na huyo mwingine na akashindwa cha kukujibu,jua tu huyo ni mchepukaji hata ukiridiana nae,chances za kurudia kosa bado ni kubwa maana uwezo wake wa kufanya maamuz ni mdogo sana?forgive him,forget him,n move on??
 
Unataka kula mwenyewe kwani sumu hiyo ???? !!!! waonee huruma na wenzio ambao hawana .... the less fortunate :lock1:
 
Habari wana MMU,

Nina mpenzi wangu ambaye tuna muda kidogo. Hapa kati niligundua anachepuka baada ya kuona msg kwenye simu yake,nilipomuuliza akakataa katakata na ugomvi juu nkajishusha yakaisha but moyoni mwangu nlikua namchunguza kimya kimya.

Kwa kawaida huwa tunapitiana asbh kwenda kazini kwan ofisi zetu zipo karibu, basi Leo nimeenda kama kawa nikagonga but hakufungua ila nilisikia movement ndani ameamka akawasha gesi na kubandika Maji ya kuoga basi nikajua atafungua mlango, nikaona kimya ila machale yakanicheza nikapanga kukaa nje mpaka nione mwisho, simu zangu nikaweka silent baada ya dk 40 hivi nikasikia sauti ya mwanamke ndani kumbe ndo alikua anamwandalia maji.

Ile kufungua mlango akakutana na macho yangu makavu nikamsalimia nikaingia chumbani nikamsalimia binti nikarudi kukaa sebuleni, bidada akanikaribisha kwa adabu zote nikamwambia apumzike tu asijali, kaka katoka kuoga anajishaua kuniuliza eti kwanini sijaenda kazini nimesimama tu nje m sikumjibu ktu akaingia rum kuvaa mi nimekaa tu sebuleni.

Sikutaka ugomvi kiukweli coz najijua hasira zangu ningechoma mtu kisu bure, basi bidada akavaa nguo huyo akaondoka na akaniaga eti Dada bye nikamwambia ok karibu tena! Alipoondoka nikamuuliza is it me or her akakosa jibu, nikaondoka zangu!

Now msg kibao za maelezo mimi sijajibu hata moja, hivi wanaume kwanini hamtosheki jamani? Bora nibaki single tu kuliko kuleteana magonjwa
So Sory...Move On!!
 
Back
Top Bottom