Leo nimemfumania live bila chenga

Leo nimemfumania live bila chenga

In fact ninyi mko wengi kuliko sisi, wanaume tupo wachache hapo hapo Kuna wengine wanataka kuja upande wenu, sasa ukitaka niwe wako pekee hao wengine atawahudumia nani, ukute pengine wewe ndo upo ktk kundi la wanaosaidiwa
 
Habari wana MMU,

Nina mpenzi wangu ambaye tuna muda kidogo. Hapa kati niligundua anachepuka baada ya kuona msg kwenye simu yake,nilipomuuliza akakataa katakata na ugomvi juu nkajishusha yakaisha but moyoni mwangu nlikua namchunguza kimya kimya.

Kwa kawaida huwa tunapitiana asbh kwenda kazini kwan ofisi zetu zipo karibu, basi Leo nimeenda kama kawa nikagonga but hakufungua ila nilisikia movement ndani ameamka akawasha gesi na kubandika Maji ya kuoga basi nikajua atafungua mlango, nikaona kimya ila machale yakanicheza nikapanga kukaa nje mpaka nione mwisho, simu zangu nikaweka silent baada ya dk 40 hivi nikasikia sauti ya mwanamke ndani kumbe ndo alikua anamwandalia maji.

Ile kufungua mlango akakutana na macho yangu makavu nikamsalimia nikaingia chumbani nikamsalimia binti nikarudi kukaa sebuleni, bidada akanikaribisha kwa adabu zote nikamwambia apumzike tu asijali, kaka katoka kuoga anajishaua kuniuliza eti kwanini sijaenda kazini nimesimama tu nje m sikumjibu ktu akaingia rum kuvaa mi nimekaa tu sebuleni.

Sikutaka ugomvi kiukweli coz najijua hasira zangu ningechoma mtu kisu bure, basi bidada akavaa nguo huyo akaondoka na akaniaga eti Dada bye nikamwambia ok karibu tena! Alipoondoka nikamuuliza is it me or her akakosa jibu, nikaondoka zangu!

Now msg kibao za maelezo mimi sijajibu hata moja, hivi wanaume kwanini hamtosheki jamani? Bora nibaki single tu kuliko kuleteana magonjwa
Njooo kwangu bi dada ucjali
 
Enjoy to the maximum Furahia maisha na watu uliokaribu
nao
 
Nakupongeza kwa kuamua kuwa mpole, umejiepusha na mengi na umelinda hadhi yako. Sasa jipe muda wa kujipumzisha, hata kwa miezi mitatu we funga moyo wako, baada ya hapo ndio ufungue aingie mwingine!
 
In fact ninyi mko wengi kuliko sisi, wanaume tupo wachache hapo hapo Kuna wengine wanataka kuja upande wenu, sasa ukitaka niwe wako pekee hao wengine atawahudumia nani, ukute pengine wewe ndo upo ktk kundi la wanaosaidiwa

umenijibia kijana,
 
Acha uchoyo naww kizuri kula na ndguyo. Kwan kaimaliza mashine dada wa watu? Si amekunwa kidogo na amekuachia naww?

Wanawake mbona wachoyo mnataka mule peke yenu? Haa!

Ingekuwa wewe nahc ungepiga mtu panga.
 
Kuna siku nilimwambia mdogo wangu, kama hautaki karaha usijihusishe kabisa na mambo ya mahusiano iwe mapenzi au ndoa. Ukiamua tu kuingia kwenye hii tasnia, hayo yategemee japo sio kwa wote. Pole sana

'hii tasnia'......

Hii tasnia hatari sana mkuu, inasumbua sana watu, mbaya zaidi haina kanuni moja inayofaa kwa matatizo yote.
 
Siku Utakayoacha Kuishabikia UKAWA nitafute ili tutengeneze Upendo Wa milele.

Nishachoka kupigana vikumbo na Wewe kule kwenye jukwaa la Siasa..

Mkuu yule wa saudia akijua si itakua msala sasa😇😆
 
Sitetei hiko kidume
lakini naona amejikuta katika mazingira magumu
wewe anakuhitaji for future
lakini at the moment anahitaji mtu wa kumpikia na kumuandalia vitu asubuhi
na kumtoa uchovu usiku.....

huku wewe unakuja asubuhi na mnaendelea na mipango ya future...
mwenzio hana ofisi ya kwenda so kampa ubize wa kiaina...
huku wewe anakusubiri for future

hahahahah The Boss hiyo ni chorus malizia na beti kabisa lol
 
Last edited by a moderator:
Pole dada ndio hivyo yameshatokea unaweza kumsamehe au kuachana nae ukisubiri mume mwema kama wapo
 
Napata shida kidogo kujua mahusiano yenu, au ndio yale ya ngoja tuoane.....? ikiwa hivyo name nasema kama alivyosema The Boss.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom