Dogo unatoa chozi kizembe wakati sisi wote njia ni hiyo hiyo moja?
Unatakiwa umfurahie kaenda kupumzika. Wakuwatolea chozi ni sisi tulio Hai ambao tunapitia mateso, magonjwa, uonevu, unyanyasaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo unatoa chozi kizembe wakati sisi wote njia ni hiyo hiyo moja?
Kwa aliyeamua kujikatia tiketi ya mbinguni mida hii hatamani wala kukumbuka taabu za huku duniani. Ila kwa aliyechagua kujilipia madhambi yake mwenyewe lazima anakumbuka nafasi zote Mungu alimpa duniani na bado akazidharau na kuzichezea. Milele atakuwa kwenye majuto.Dogo unatoa chozi kizembe wakati sisi wote njia ni hiyo hiyo moja?
Unatakiwa umfurahie kaenda kupumzika. Wakuwatolea chozi ni sisi tulio Hai ambao tunapitia mateso, magonjwa, uonevu, unyanyasaji.
😂😂😂Dogo unatoa chozi kizembe wakati sisi wote njia ni hiyo hiyo moja?
Unatakiwa umfurahie kaenda kupumzika. Wakuwatolea chozi ni sisi tulio Hai ambao tunapitia mateso, magonjwa, uonevu, unyanyasaji.
Unajuaje Kama kapumzika huko?huko Ni lazima tulie kwa kuwa hatujui tuendakoDogo unatoa chozi kizembe wakati sisi wote njia ni hiyo hiyo moja?
Unatakiwa umfurahie kaenda kupumzika. Wakuwatolea chozi ni sisi tulio Hai ambao tunapitia mateso, magonjwa, uonevu, unyanyasaji.
Kwenye keyboard humu mnajiongeleshaga utadhani mna diamond and unbreakable hearts wakati mkifiwa hata na wajomba mnalia mpaka mikojo....fucken kabisaDogo unatoa chozi kizembe wakati sisi wote njia ni hiyo hiyo moja?
Unatakiwa umfurahie kaenda kupumzika. Wakuwatolea chozi ni sisi tulio Hai ambao tunapitia mateso, magonjwa, uonevu, unyanyasaji.
Dogo acha jazba.Kwenye keyboard humu mnajiongeleshaga utadhani mna diamond and unbreakable hearts wakati mkifiwa hata na wajomba mnalia mpaka mikojo....fucken kabisa
Mimi personally uwa nahisi ukifa ndo basi imeisha hiyo. Ushawahi kuzimia au kupigwa sindano ya usingizi ili ufanyiwe operesheni?Unajuaje Kama kapumzika huko?huko Ni lazima tulie kwa kuwa hatujui tuendako
Frankly na Mimi naamini Kama wewe!na huwa sishawishiki Kama Kuna siku nitakuwa ulimwengu mwingine japo Imani yangu yanitaka niamini hivyo....Najiuuliza Kabla sijazaliwa nilikuwa wapi?I hope na siku nikifa nitakuwa sijijui Kama mwanzo.Mimi personally uwa nahisi ukifa ndo basi imeisha hiyo. Ushawahi kuzimia au kupigwa sindano ya usingizi ili ufanyiwe operesheni?
Kuna chochote unachokumbuka au kujihisi uko eneo lolote?
Nadhani kifo kitakuwa hivyo japo kuna muda naamini katika incarnation
Yes, hata mimi ni kama wewe hivyo kabisaFrankly na Mimi naamini Kama wewe!na huwa sishawishiki Kama Kuna siku nitakuwa ulimwengu mwingine japo Imani yangu yanitaka niamini hivyo....Najiuuliza Kabla sijazaliwa nilikuwa wapi?I hope na siku nikifa nitakuwa sijijui Kama mwanzo.
Yes, hata mimi ni kama wewe hivyo kabisa
Umewahi kuwaza kwa nini unaona moyoni unajua kifo inaweza isiwe mwisho na kwamba kuna possibility ya kutokea reincarnation?Mimi personally uwa nahisi ukifa ndo basi imeisha hiyo. Ushawahi kuzimia au kupigwa sindano ya usingizi ili ufanyiwe operesheni?
Kuna chochote unachokumbuka au kujihisi uko eneo lolote?
Nadhani kifo kitakuwa hivyo japo kuna muda naamini katika incarnation
Labda kwasababu nilikuwa programmed kuwaza hivyo kupitia mafundisho.Umewahi kuwaza kwa nini unaona moyoni unajua kifo inaweza isiwe mwisho na kwamba kuna possibility ya kutokea reincarnation?
Unajua haya mambo sio mepesi kwa sababu yako far beyond our five senses. Pamoja na hivyo ni kosa kuamua kuamini kitu na kusema hushawishiki. Hapa point ya msingi ni kuhakikisha unachokiamini una uhakika ni sahihi.Frankly na Mimi naamini Kama wewe!na huwa sishawishiki Kama Kuna siku nitakuwa ulimwengu mwingine
imani gani, kama hutajali?japo Imani yangu yanitaka niamini hivyo....
Haya maswali majibu yake yanategemea msingi wako. Ni kama moja toa mbili kwa mwenye msingi wa darasa la pili ni haiwezekani. Ila kwa mwenye msingi wa sekondari anajua ni hasi moja.Najiuuliza Kabla sijazaliwa nilikuwa wapi?
Unfortunately una mwanzo ila hauna mwisho. Utadumu siku zote katika moja ya sehemu mbili. Ile utakayoichagua hapa duniani.I hope na siku nikifa nitakuwa sijijui Kama mwanzo.