MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Jamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.
Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam