Leo nimemsikia mtu wa ajabu redioni

Leo nimemsikia mtu wa ajabu redioni

Jamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.

Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Ofisi angeifungulia dar ndio atapata members..... Tarime strategically hapamfai kwani kule hamna anayekoroma achilia mbali kumpiga mwanamke....never there.
 
Jamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.

Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Wamwambie tarime sio soft soft kwa wanaume wa dar hizo ofisi zao wajenge kinondoni huko daslam
 
Jamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.

Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Huko tarime wamelegea sana ila mikwara mingi nguvu hawana ,wanachokitegemea wao ni silaha tu.
 
Jamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.

Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Yule nj mgonjwa wa akili..
 
Jamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.

Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Ahaaaa, kumbe ni mwanamme wa Dar? Tafadhali utuwie radhi wanaume wenzako tulio kamilika, usirudie kuita wanaume wa Dar wanaume, wale tulishazoea kuwaita magarasa.
 
Tarime ya sasa sio ile ya zamani, wanaume wa kule nao wana haki ya kusaidiwa ktk madhira yanayowakumba. Hii ya kusema ni mkurya ndo inafanya wanaogopa kutoka kuja hadharani kuomba msaada, mwishowe tunakuja na takwimu za ustawi wa jamii kwamba wanaume wanakufa mapema zaidi kuliko wanawake. Na msiseme ukatili ni kupigwa tu, yako mengi yanayompotezea mwanaume uanaume wake. Tata mura, mbuya.
 
sio mimi ,ni mwnykiti ndio kasema
Sasa kwa akili yako ya kuvukia reli unadhani na kuamini kabisaa kwamba pale kuna mwanaume?

Jamaa anajisifia kwenye public kabisaa kuwa anachezea nakoz za mke. Hamna mtu pale.

Hayupo Dar.
 
Back
Top Bottom