MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Lakini panya road ni wanaume wa Dar piaNdio maana panya rd wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko darisalama
Mbona wanaenda kufungua ofisi mpakani mwa nchi baada wangefungua katika ya nchiJamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.
Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Content unamaanisha nini mkuuMkuu Ile ni content... Mawingu wanafanya Biashara. Usichukulie serious, mji mzito huu
Kuna wengine kama wao kule nchi jiraniMbona wanaenda kufungua ofisi mpakani mwa nchi baada wangefungua katika ya nchi
Panya road ni wanaume wa dar waliovuta bangiLakini panya road ni wanaume wa Dar pia
Sasa wewe bwege Tarime na Dar vinaunganishwaje?Jamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.
Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Wanazingua SanaMkuu Ile ni content... Mawingu wanafanya Biashara. Usichukulie serious, mji mzito huu
sio mimi ,ni mwnykiti ndio kasemaSasa wewe bwege Tarime na Dar vinaunganishwaje?
Tuache aisee