Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Ofisi angeifungulia dar ndio atapata members..... Tarime strategically hapamfai kwani kule hamna anayekoroma achilia mbali kumpiga mwanamke....never there.Jamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.
Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Nadhani ofisi inapelekwa Tarime ili kudumisha ushirikiano wa kimataifa na kenya..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ofisi angeifungulia dar ndio atapata members..... Tarime strategically hapamfai kwani kule hamna anayekoroma achilia mbali kumpiga mwanamke....never there.
Labda.Nadhani ofisi inapelekwa Tarime ili kudumisha ushirikiano wa kimataifa na kenya..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Wamwambie tarime sio soft soft kwa wanaume wa dar hizo ofisi zao wajenge kinondoni huko daslamJamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.
Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Huko tarime wamelegea sana ila mikwara mingi nguvu hawana ,wanachokitegemea wao ni silaha tu.Jamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.
Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Pamoja na huko unakoita kulegea, hakuna wanaume wanaopigwa na wake zao. Tarime inaweza kuwa miongoni mwa wilaya zinazoongoza kwa wanawake kupigwaHuko tarime wamelegea sana ila mikwara mingi nguvu hawana ,wanachokitegemea wao ni silaha tu.
Yule nj mgonjwa wa akili..Jamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.
Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Ahaaaa, kumbe ni mwanamme wa Dar? Tafadhali utuwie radhi wanaume wenzako tulio kamilika, usirudie kuita wanaume wa Dar wanaume, wale tulishazoea kuwaita magarasa.Jamaa amefanya mahojiano na Clouds FM, yeye ni Mwenyekiti wa Wanaume wanaopigwa majumbani na wake zao.
Amedai wamepata eneo Tarime wanaenda kufungua ofisi ndogo.
Ndio maana Panya Road wawili wanaweza kufunga mtaa mzima huko Dar ea Salaam
Sasa kwa akili yako ya kuvukia reli unadhani na kuamini kabisaa kwamba pale kuna mwanaume?sio mimi ,ni mwnykiti ndio kasema
Wavulana wa DarLakini panya road ni wanaume wa Dar pia
Alichaguliwa wapi?Dah jamaa et anajiita Rais wa chama Cha wanaopigwa na wake zao
Nchi ya Mara ipo bara gani ?Wanaenda kufungua ofisi ndogo Tarime kule nchini Mara au?
Africa mkuuNchi ya Mara ipo bara gani ?