Leo nimemuacha mpenzi wangu rasmi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu shukuru alikuwa hakuachi njaaa ATI lkn huyo hafai kabisaaa
 
Daaha maskin wee hiyo jeuri ya kufanya hivyo anaitoa wapi yaan mm ningekuwa Men wangenitambua madem kama hao....
 
Tukiwaambia hawaelew
 
Nipasie namba zake kama hutojali na kama umemuacha kwerii kweriii!!
 
weka namba yake hapa, kuna wadau masingo wanaweza kumuoa. usimfungie milango. weka namba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…