Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mkuu 😂😂😂😂😂Hongera kwa kujinasua kwa singo maza akitoka simba hao viumbe wa pili kuwa hatar
Daaah hivi ni ujinga, uchizi au ukichaa?Elewa basi, Ni mpenzi tu. Mtoto nilimkuta naye
SijuiDaaah hivi ni ujinga, uchizi au ukichaa?
wewe HUNA AKILI, tuseme Mara ngapi humu kuhusu hao watuSijui
Yaaani chakula? Duh! Aiseeeee. HayaNimekomeshwa
Nilidhani utaniwewe HUNA AKILI, tuseme Mara ngapi humu kuhusu hao watu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kidogo chai iniunguze eti umejidai tasaf looh..[emoji1787][emoji1787]Kwahiyo hadi muda huu wako nje siyo?
Alikuja aumlishe na mwanaye
We hujiulizi kwanini aliyemzalisha kmtelekeza na mtoto?
Umejidai tasaf,saidia Kaya maskin[emoji23]
Pole tafuta mwingine umlishe na mwanaye manake yaonekana ndo kipaji chako.