Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwez kuelewa sababu level yako ya uelewa ni ndogo sanaNdo mlichobakiza timu Kibamia,, hahaha!! Kujifariji..
amekwenda kibiashara zaidi, siyo kimalaya!Sasa hiyo inamtofautisha vipi na wenzake au inamfanya awe CHADEMA?
Yako ndiyo ndogo, kwasababu wewe unachotaka ni kubeza upande wa wengine kwamba wamekosea kuvaa sare kitu ambacho siyo sawa,,wao pia ni watanzania japo ni wasanii,,wanamaamuzi pia,wewe sema tu kwamba kiba hajavaa jezi ya chama ,basi,Siyo kusema wengine wanashobo.. hahaha..UsipanikiHuwez kuelewa sababu level yako ya uelewa ni ndogo sana
Sijapanik kiongoz, kiba anajielewa kaenda kuchukua kilichompeleka (hera) basi! Hao wengine full shobo yaani mpaka mwanafatuma nae [emoji28][emoji28] like i said huwez kuelewa mpaka uwe na iq flani hivi.Yako ndiyo ndogo, kwasababu wewe unachotaka ni kubeza upande wa wengine kwamba wamekosea kuvaa sare kitu ambacho siyo sawa,,wao pia ni watanzania japo ni wasanii,,wanamaamuzi pia,wewe sema tu kwamba kiba hajavaa jezi ya chama ,basi,Siyo kusema wengine wanashobo.. hahaha..Usipaniki
No,,wewe IQ iko low sana,,maana inaonyesha hauwezi hata kuwavumilia watu wenye mlengo tofauti na wewe,,kama kitendo cha mtu kuvaa sare ya CCM tu umeshindwa kukivumilia basi kuna shida hapo..Sijapanik kiongoz, kiba anajielewa kaenda kuchukua kilichompeleka (hera) basi! Hao wengine full shobo yaani mpaka mwanafatuma nae [emoji28][emoji28] like i said huwez kuelewa mpaka uwe na iq flani hivi.
Usiku mwema.No,,wewe IQ iko low sana,,maana inaonyesha hauwezi hata kuwavumilia watu wenye mlengo tofauti na wewe,,kama kitendo cha mtu kuvaa sare ya CCM tu umeshindwa kukivumilia basi kuna shida hapo..
Nawewe pia,,,ila ni challenge tu mkuu,,usichukie..one loveUsiku mwema.
Angekuwa apendi shobo asingeenda kumsifia Magufuli na kutunga wimbo wa kudis wapinzaniUsiku mwema.
Vijana mia Afrika wenye ushawishi ndani...Alikiba ana influence ipi?
Huyo Africa anajulikana wapi?Vijana mia Afrika wenye ushawishi ndani...
Dogo janja pia hakuvaa kijaniLeo Dodoma kwenye kikao cha CCM wasanii karibia wote walikuwepo ukumbini. Karibia wote walikuwa wamevalia jezi za CCM..Isipokuwa King Kiba, japo katumbuiza ila hakutaka kuvaa jezi ya CCM.. kama yule mtandale ambaye alitupia li suti la kijani kabisa
Aliulizwa hv karibuni na chombo kimoja cha habari kwanini hagombei ubunge kama baadhi ya wenzie akajibu ana sifa zote kasoro mbili, alipoulizwa azitaje akasema ya kuwa muongo muongo na Mnafiki
Hakufafanua zaid, nadhan mwandish hakumuelewa ndio sabab hakumuuliza zaid