Mii mwenyewe juzi juzi tuu. kabla hajapanda chopa kwenda kukagua daraja na waathrika wa mafuriko kule moro.Mi Nimekutana nae the presdaa pale ferry akiwa kavaa Tracksuit,alitokelezeajeeee!!!! naamini alikuwa anachukua vibua.
Kwa hiyo unataka tufanyeje. Siku ukimuona Barrack Obama si utazimia kabisa.Leo katika pitapita zangu nikakutana na Baruan Muhuza mtangazaji wa BBC. Kilichonishangaza ni kuwa huyu jamaa yuko simple sana hana makuu, tofauti na nlivyo kuwa nafikiria awali kwamba labda atakuwa si mtu wa kujichanganya uswahilini kama nlivyo mkuta leo....
ha!ha!ha kama sio akikukamata..........Ka we ni mwanamke, inaonekana angekutongoza ungempa bure.
Leo katika pitapita zangu nikakutana na Baruan Muhuza mtangazaji wa BBC. Kilichonishangaza ni kuwa huyu jamaa yuko simple sana hana makuu, tofauti na nlivyo kuwa nafikiria awali kwamba labda atakuwa si mtu wa kujichanganya uswahilini kama nlivyo mkuta leo....
We ulikuwa unadhani labda ungemkutaje?Leo katika pitapita zangu nikakutana na Baruan Muhuza mtangazaji wa BBC. Kilichonishangaza ni kuwa huyu jamaa yuko simple sana hana makuu, tofauti na nlivyo kuwa nafikiria awali kwamba labda atakuwa si mtu wa kujichanganya uswahilini kama nlivyo mkuta leo....
Leo katika pitapita zangu nikakutana na Baruan Muhuza mtangazaji wa BBC. Kilichonishangaza ni kuwa huyu jamaa yuko simple sana hana makuu, tofauti na nlivyo kuwa nafikiria awali kwamba labda atakuwa si mtu wa kujichanganya uswahilini kama nlivyo mkuta leo....