Leo nimemuona Baruan Muhuza wa BBC

Leo nimemuona Baruan Muhuza wa BBC

ungepiga nae picha ukaweke chini ya mto wa kulalia.
 
next time unakutana nae mchape swali hili: why most of bbc swahili news anchors/reporters are muslims?.

Hahahahaha..udini huo unaleta japo hata mimi nlishanotice ila sidhan ka kunatatizo...labda imetokea tu
 
  • Thanks
Reactions: dtj
hivi.bado kuna watu wanasujudia TITLE,?NADHAN NDO WALE WANAAMIN MKUBWA HAJAMBI
 
Hahahahaha..udini huo unaleta japo hata mimi nlishanotice ila sidhan ka kunatatizo...labda imetokea tu

charls hilary,mogera.odhiambo joseph.ann swai.mhando.mungi,komla.mackbul.stanly. hawa nao ni waislam acha udin
 
Nadhani ukikutana na Salim Kikeke utatamani kutoa t...a..k.o bila kuombwa
 
Leo katika pitapita zangu nikakutana na Baruan Muhuza mtangazaji wa BBC. Kilichonishangaza ni kuwa huyu jamaa yuko simple sana hana makuu, tofauti na nlivyo kuwa nafikiria awali kwamba labda atakuwa si mtu wa kujichanganya uswahilini kama nlivyo mkuta leo....

mimi nimikutana na Efulayimu Kibonde wa clauzi efuemu!
 
Ka we ni mwanamke, inaonekana angekutongoza ungempa bure.

vipi kwani wewe huwa unanunua? Dalili za udomo zege hizo, jifunze kuimbisha utakula bure kwa anaeuza na hata asieuza! Halafu zinazouzwa huwa hazina viwango!!
 
Back
Top Bottom