IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Leo katika pitapita zangu nikakutana na Baruan Muhuza mtangazaji wa BBC. Kilichonishangaza ni kuwa huyu jamaa yuko simple sana hana makuu, tofauti na nlivyo kuwa nafikiria awali kwamba labda atakuwa si mtu wa kujichanganya uswahilini kama nlivyo mkuta leo....