Leo nimemuona mama Maria Nyerere bado yupo imara

Leo nimemuona mama Maria Nyerere bado yupo imara

kachwankizi

Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
41
Reaction score
81
Leo Katika taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku, nimemuona mama yetu mama Maria Nyerere akipokea picha ya mwalimu Nyerere toka Kwa mpiga picha mzungu.

Kusema ukweli nimefurahi sana kumuona bado yupo imara.

Tena ametoa bonge la maoni juu ya maendeleo ya nchi Kwa Sasa.

Hii imedhihirisha bado kichwani hajateteleka pamoja na umri kuwa umeenda.

Mungu azidi kumbariki na kumpa maisha marefu.
 
Leo Katika taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku, nimemuona mama yetu mama Maria Nyerere akipokea picha ya mwalimu Nyerere toka Kwa mpiga picha mzungu. Kusema ukweli nimefurahi sana kumuona bado yupo imara..
Tena ametoa bonge la maoni juu ya maendeleo ya nchi Kwa Sasa. Hii imedhihirisha bado kichwani hajateteleka pamoja na umri kuwa umeenda. Mungu azidi kumbariki na kumpa maisha marefu.
Adumu daima
 
Leo Katika taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku, nimemuona mama yetu mama Maria Nyerere akipokea picha ya mwalimu Nyerere toka Kwa mpiga picha mzungu.

Kusema ukweli nimefurahi sana kumuona bado yupo imara.

Tena ametoa bonge la maoni juu ya maendeleo ya nchi Kwa Sasa.

Hii imedhihirisha bado kichwani hajateteleka pamoja na umri kuwa umeenda.

Mungu azidi kumbariki na kumpa maisha marefu.
Ulitaka afe au?
 
Leo Katika taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku, nimemuona mama yetu mama Maria Nyerere akipokea picha ya mwalimu Nyerere toka Kwa mpiga picha mzungu.

Kusema ukweli nimefurahi sana kumuona bado yupo imara.

Tena ametoa bonge la maoni juu ya maendeleo ya nchi Kwa Sasa.

Hii imedhihirisha bado kichwani hajateteleka pamoja na umri kuwa umeenda.

Mungu azidi kumbariki na kumpa maisha marefu.
Kasoma kitabu cha Kabendera?
 
Leo Katika taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku, nimemuona mama yetu mama Maria Nyerere akipokea picha ya mwalimu Nyerere toka Kwa mpiga picha mzungu.

Kusema ukweli nimefurahi sana kumuona bado yupo imara.

Tena ametoa bonge la maoni juu ya maendeleo ya nchi Kwa Sasa.

Hii imedhihirisha bado kichwani hajateteleka pamoja na umri kuwa umeenda.

Mungu azidi kumbariki na kumpa maisha marefu.
Naona una furaha sana mpaka muhindi(Tanganyika) amekuwa mzungu.
 
Leo Katika taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku, nimemuona mama yetu mama Maria Nyerere akipokea picha ya mwalimu Nyerere toka Kwa mpiga picha mzungu.

Kusema ukweli nimefurahi sana kumuona bado yupo imara.

Tena ametoa bonge la maoni juu ya maendeleo ya nchi Kwa Sasa.

Hii imedhihirisha bado kichwani hajateteleka pamoja na umri kuwa umeenda.

Mungu azidi kumbariki na kumpa maisha marefu.
Huyu ndiye mama wa shoka, aliwaumbua CCM huko Geita kwa kusema "wamenitoa Musoma na kunileta hapa sijui nifanye nini!".
 
Back
Top Bottom