Leo nimemuona Nadir Haroub Cannavaro nikakumbuka kisa chake cha jezi na Eto'o

Umaskini ni mbaya sana ndugu zangu unatia aibu...Eto'o aliposikia habari hizo akaplan hadi kumlipia hiyo faini cannavaro imagine aibu tuliyopata kama nchi
 
Nalikumbuka hili tukio

Ila Kaijage alilalamikiwa nchi nzima na wadau wa soka kwa ile kauli mpaka Raisi wa TFF enzi hizo Leodgar Tenga akaomba radhi na ile kauli ikatenguliwa na wala Nadir hakukatwa posho yake
 
Dah! Nimecheka mpaka mbavu zinauma, sipatii picha sura yake ali iwekaje wakati ana zungumza hayo .. eti " hawa (Brazil) wa kawaida sana" [emoji23][emoji23]
 
Dah! Nimecheka mpaka mbavu zinauma, sipatii picha sura yake ali iwekaje wakati ana zungumza hayo .. eti " hawa (Brazil) wa kawaida sana" [emoji23][emoji23]
Tena na hapo mtu kashakula goal 5 tena nyumbani kwake. Dah
 
Abdulahalim humudi
 
Kwani alikosea kaongea sawasawa ni wakawaida unajua nchi yao imeekeza sana kwenye michezo special mpira wa miguu ndio maana .Kama munakumbuka cameroon nini waliwafanyia Argentina basi jamaa kaongea kweli Mujue kuna njama sana sana kuhusu michezo na FIFA mpk sasa hawataki Africa wachukue kombe la dunia ndio Maana Cameroon akatolewa na Uiengereza zile ni njama.
 
😁😂🤣
Nimeipenda hiyo DP yako ya Ertugruh.
Hivi mwamba naskia anasoma habar za michezo. Ninkituo gan vile?

All in all Africa hatuna mpira. Uholanzi, Ubelgiji na mpira wao wote ule hawajawahi kubeba world cup. Niambie timu gani ya mpira inaweza kuifikia Netherland au Belgium hata kwa 1/8?
 
Kaijage alileta CD Yenye wimbo Wa Taifa Ikagoma Kuimba

Sasa nimekumbuka,hii mechi ilikuwa Brazil walikuwa wanakwenda WC kwa Madiba 2010,wakapita kwa Mkapa kutupa burudani kidogo[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…