Chaos Master
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 636
- 1,310
Inaweza ikawa ni best of all time katika vimbwanga aseeDah ile mechi ilijaa vimbwanga sana. Huenda hilo tukio ndo lilimfanya jamaa yule awaponde brazil.
Kuna ile shabiki anaingia uwanjan anamfuata Káka.
Huyo huyoBila shaka ni Humud huyo
Nalikumbuka hili tukioMwaka 2008 Taifa Stars enzi za kocha Marcio Maximo. Enzi hizo mapenzi ya Watanzania kwa timu ya taifa ni 100%. Kuna mkasa mmoja ambao leo umenifanya nimkumbuke Cannavaro mara baada ya kumuona kwenye benchi la Stars.
Ilikua hivi mara baada ya mchezo kati ya Tanzania na Cameroon kumalizika 'Cannavaro' alifuatwa na Eto'o anayecheza klabu ya Barcelona ya Hispania akitaka wabadilishane jezi baada ya pambano hilo kumalizika ambapo Stars ilichapwa mabao 2-1 yaliyofungwa na mchezaji huyo.
Tukio hilo lilibua mjadala baada ya Ofisa Habari wa TFF kipindi hicho, Florian Kaijage kukaririwa na vyombo vya habari akisema 'Cannavaro' atakatwa sh. 20,000 kwa kitendo cha kubadilishana jezi na Eto'o.
Baada ya tukio hili ndio ikawa rasmi kwa wachezaji wa timu ya taifa kubadilishana jezi na wenzao.
Dah! Nimecheka mpaka mbavu zinauma, sipatii picha sura yake ali iwekaje wakati ana zungumza hayo .. eti " hawa (Brazil) wa kawaida sana" [emoji23][emoji23]Kuna yule mchezaji wa taifa stars baada ya mchezo kati ya taifa stars na brazil akahojiwa na vhombo kimoja atoe maoni yake kuhusu mchezo akaanza kusema " hawa ( brazili) wa kawaida sana, wana nini hawa wepesi sana, wanabebwa tu."
Dah jamaa alipondwa sana na wadau wa soka. Mwenye kumbukumbu aiweke hapa alikua nani yule jamaa.
Tena na hapo mtu kashakula goal 5 tena nyumbani kwake. DahDah! Nimecheka mpaka mbavu zinauma, sipatii picha sura yake ali iwekaje wakati ana zungumza hayo .. eti " hawa (Brazil) wa kawaida sana" [emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3]Tena na hapo mtu kashakula goal 5 tena nyumbani kwake. Dah
Abdulahalim humudiKuna yule mchezaji wa taifa stars baada ya mchezo kati ya taifa stars na brazil akahojiwa na vhombo kimoja atoe maoni yake kuhusu mchezo akaanza kusema " hawa ( brazili) wa kawaida sana, wana nini hawa wepesi sana, wanabebwa tu."
Dah jamaa alipondwa sana na wadau wa soka. Mwenye kumbukumbu aiweke hapa alikua nani yule jamaa.
Alishindwa kuficha ujinga wakeKaijage alishindwa kabisa kutufichia aibu
Shukrani sana mkuu kutukumbusha.Abdulahalim humudi
Kwani alikosea kaongea sawasawa ni wakawaida unajua nchi yao imeekeza sana kwenye michezo special mpira wa miguu ndio maana .Kama munakumbuka cameroon nini waliwafanyia Argentina basi jamaa kaongea kweli Mujue kuna njama sana sana kuhusu michezo na FIFA mpk sasa hawataki Africa wachukue kombe la dunia ndio Maana Cameroon akatolewa na Uiengereza zile ni njama.Kuna yule mchezaji wa taifa stars baada ya mchezo kati ya taifa stars na brazil akahojiwa na vhombo kimoja atoe maoni yake kuhusu mchezo akaanza kusema " hawa ( brazili) wa kawaida sana, wana nini hawa wepesi sana, wanabebwa tu."
Dah jamaa alipondwa sana na wadau wa soka. Mwenye kumbukumbu aiweke hapa alikua nani yule jamaa.
😁😂🤣Kwani alikosea kaongea sawasawa ni wakawaida unajua nchi yao imeekeza sana kwenye michezo special mpira wa miguu ndio maana .Kama munakumbuka cameroon nini waliwafanyia Argentina basi jamaa kaongea kweli Mujue kuna njama sana sana kuhusu michezo na FIFA mpk sasa hawataki Africa wachukue kombe la dunia ndio Maana Cameroon akatolewa na Uiengereza zile ni njama.
Mkuu shukrani sana. Naomba link niskilize tena mashudu yake.Jamaa mmoja sasa hivi yupo Namungo somebody Humud kama sijakosea
KiswahiliUnaongea nini wewe?
Kaijage alileta CD Yenye wimbo Wa Taifa Ikagoma Kuimba