Leo nimemuona Nadir Haroub Cannavaro nikakumbuka kisa chake cha jezi na Eto'o

Leo nimemuona Nadir Haroub Cannavaro nikakumbuka kisa chake cha jezi na Eto'o

Kwenye mechi hiyo hiyo TEGETE alimfuata Maicon kumuomba jezi... Maicon akamuangalia Tegete kuanzia uu mpaka chini kisha akaivua na kumtupia Tegete! Tegete akaikotoka kwa furaha zote..akavua ya kwake ili ampe Maicon ila jamaa alikataa jezi ya Tegete..licha ya kwamba ile ilikuwa dharau kubwa ila si haba tegete alirudi na jezi mbili nyumbani siku ile
Maicon alimhurumia Tegete asije akakatwa 20,000/- na TFF ndio maana aliikataa jezi yake.
 
Back
Top Bottom