Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Unipangie kitu ninacho kijua na kipi kwenye mikataba wazi kabisa kwamba ukipiga/pigwa ama kupigana ndani ya eneo la kazi unafukuzwa.
Ngoja nikupe mfano, kuna jamaa alikua OHSE manager, alipigana na Dr lfani.
Mwisho wote walifukuzwa.
Ngoja nikupe mfano, kuna jamaa alikua OHSE manager, alipigana na Dr lfani.
Mwisho wote walifukuzwa.
Kuna levo za kufukuzwa kazi bro Ushimen
Imagine HR kapigana na mtunza garden ya ofisi, unadhani wote watafukuzwa?