Leo nimemzaba vibao kaka wa kazini

Leo nimemzaba vibao kaka wa kazini

Unipangie kitu ninacho kijua na kipi kwenye mikataba wazi kabisa kwamba ukipiga/pigwa ama kupigana ndani ya eneo la kazi unafukuzwa.
Ngoja nikupe mfano, kuna jamaa alikua OHSE manager, alipigana na Dr lfani.
Mwisho wote walifukuzwa.
Kuna levo za kufukuzwa kazi bro Ushimen

Imagine HR kapigana na mtunza garden ya ofisi, unadhani wote watafukuzwa?
 
Huyu kaka alikua ananichukuli poa sana. Mnoko mnoko anapenda kunifatilia mambo yangu hata kama hayahusiani na kazi anaingiza pua yake kwenye mambo private. Kila wiki ananiripoti kwa bosi kwa vitu vya uongo.

Sasa leo aligonga kubaya nikapatwa na hasira ghafla. Unajua madem wa chuga hatunaga pampa pampa.

Nilisimama nikamkunja nikamuingiza kwa kwapa akawa hafulukuti nikamtia vibao viwili vitakatifu halafu nikamwambia nenda kaseme kwa bosi wako.

Nikachukua begi langu nikasepa home. Bosi amenipigia simu zaidi ya mara nne sijapokea. Saa hizi ameniandikia meseji akinisihi nipokee simu ana mazungumzo na mimi. Nimemjibu tutaongea kesho ofisini.

Hata kama nitakua nimenyea ugali wangu ila najipongeza kumpa adabu huyu kaka wa hovyo! Naona sasa atakua na adabu na atakaa mbali na mimi! Sipendagi mazoea ya kiufisadi na kimbea mbea mie!!
Hasira ni hasara.
 
hao ni vibarua tu.hilo kosa moja kwa moja unaitwa hr mkamalizane
Punguza ujuaji kijana, tatizo lenu hamjapata exposure ya kufanya kwenye International Companies.
Kuna kampuni na baadhi ya mashirika kupigana eneo la kazi ipp kwenye "Cardinal Rules"
Kuna mashirika ama kampuni kama una rekodi ya kushtakiwa kwa kosa lolote na jamuuhuri tayari kwao wanaku disco.
 
Huyu kaka alikua ananichukuli poa sana. Mnoko mnoko anapenda kunifatilia mambo yangu hata kama hayahusiani na kazi anaingiza pua yake kwenye mambo private. Kila wiki ananiripoti kwa bosi kwa vitu vya uongo.

Sasa leo aligonga kubaya nikapatwa na hasira ghafla. Unajua madem wa chuga hatunaga pampa pampa.

Nilisimama nikamkunja nikamuingiza kwa kwapa akawa hafulukuti nikamtia vibao viwili vitakatifu halafu nikamwambia nenda kaseme kwa bosi wako.

Nikachukua begi langu nikasepa home. Bosi amenipigia simu zaidi ya mara nne sijapokea. Saa hizi ameniandikia meseji akinisihi nipokee simu ana mazungumzo na mimi. Nimemjibu tutaongea kesho ofisini.

Hata kama nitakua nimenyea ugali wangu ila najipongeza kumpa adabu huyu kaka wa hovyo! Naona sasa atakua na adabu na atakaa mbali na mimi! Sipendagi mazoea ya kiufisadi na kimbea mbea mie!!
Hongera kwa ujasiri wako.
 
Kuna mashirika ama kampuni kama una rekodi ya kushtakiwa kwa kosa lolote na jamuuhuri tayari kwao wanaku disco.
Ndivyo ilivyo hadi kesho. nimefanya kazi sehemu tofauti tofauti moja ya kesi ngumu kutoboa ni kupigana hata GM huwa hasogelei hiyo kesho.Mengine utajua mwenyewe
 
Huyu kaka alikua ananichukuli poa sana. Mnoko mnoko anapenda kunifatilia mambo yangu hata kama hayahusiani na kazi anaingiza pua yake kwenye mambo private. Kila wiki ananiripoti kwa bosi kwa vitu vya uongo.

Sasa leo aligonga kubaya nikapatwa na hasira ghafla. Unajua madem wa chuga hatunaga pampa pampa.

Nilisimama nikamkunja nikamuingiza kwa kwapa akawa hafulukuti nikamtia vibao viwili vitakatifu halafu nikamwambia nenda kaseme kwa bosi wako.

Nikachukua begi langu nikasepa home. Bosi amenipigia simu zaidi ya mara nne sijapokea. Saa hizi ameniandikia meseji akinisihi nipokee simu ana mazungumzo na mimi. Nimemjibu tutaongea kesho ofisini.

Hata kama nitakua nimenyea ugali wangu ila najipongeza kumpa adabu huyu kaka wa hovyo! Naona sasa atakua na adabu na atakaa mbali na mimi! Sipendagi mazoea ya kiufisadi na kimbea mbea mie!!
Tunaomba mrejesho wa ulivoongea na bosi
 
Leo ndio nimejua kwamba wewe ni Ke.
Anywas......
Kwetu huku moja kati ya sheria za kazi ni......ukipigwa/ukipiga ama mkipigana na ikathibitika ni wote mnafukuza kazi na hakuna mjadala wala msamaha kwenye hilo.
Habari za Tabora chief
 
Back
Top Bottom