Kuna levo za kufukuzwa kazi bro Ushimen
Imagine HR kapigana na mtunza garden ya ofisi, unadhani wote watafukuzwa?
Mwalimu Ushimen za siku ndugu yanguLeo ndio nimejua kwamba wewe ni Ke.
Anywas......
Kwetu huku moja kati ya sheria za kazi ni......ukipigwa/ukipiga ama mkipigana na ikathibitika ni wote mnafukuza kazi na hakuna mjadala wala msamaha kwenye hilo.
Hasira ni hasara.Huyu kaka alikua ananichukuli poa sana. Mnoko mnoko anapenda kunifatilia mambo yangu hata kama hayahusiani na kazi anaingiza pua yake kwenye mambo private. Kila wiki ananiripoti kwa bosi kwa vitu vya uongo.
Sasa leo aligonga kubaya nikapatwa na hasira ghafla. Unajua madem wa chuga hatunaga pampa pampa.
Nilisimama nikamkunja nikamuingiza kwa kwapa akawa hafulukuti nikamtia vibao viwili vitakatifu halafu nikamwambia nenda kaseme kwa bosi wako.
Nikachukua begi langu nikasepa home. Bosi amenipigia simu zaidi ya mara nne sijapokea. Saa hizi ameniandikia meseji akinisihi nipokee simu ana mazungumzo na mimi. Nimemjibu tutaongea kesho ofisini.
Hata kama nitakua nimenyea ugali wangu ila najipongeza kumpa adabu huyu kaka wa hovyo! Naona sasa atakua na adabu na atakaa mbali na mimi! Sipendagi mazoea ya kiufisadi na kimbea mbea mie!!
Punguza ujuaji kijana, tatizo lenu hamjapata exposure ya kufanya kwenye International Companies.hao ni vibarua tu.hilo kosa moja kwa moja unaitwa hr mkamalizane
Hongera kwa ujasiri wako.Huyu kaka alikua ananichukuli poa sana. Mnoko mnoko anapenda kunifatilia mambo yangu hata kama hayahusiani na kazi anaingiza pua yake kwenye mambo private. Kila wiki ananiripoti kwa bosi kwa vitu vya uongo.
Sasa leo aligonga kubaya nikapatwa na hasira ghafla. Unajua madem wa chuga hatunaga pampa pampa.
Nilisimama nikamkunja nikamuingiza kwa kwapa akawa hafulukuti nikamtia vibao viwili vitakatifu halafu nikamwambia nenda kaseme kwa bosi wako.
Nikachukua begi langu nikasepa home. Bosi amenipigia simu zaidi ya mara nne sijapokea. Saa hizi ameniandikia meseji akinisihi nipokee simu ana mazungumzo na mimi. Nimemjibu tutaongea kesho ofisini.
Hata kama nitakua nimenyea ugali wangu ila najipongeza kumpa adabu huyu kaka wa hovyo! Naona sasa atakua na adabu na atakaa mbali na mimi! Sipendagi mazoea ya kiufisadi na kimbea mbea mie!!
Ndivyo ilivyo hadi kesho. nimefanya kazi sehemu tofauti tofauti moja ya kesi ngumu kutoboa ni kupigana hata GM huwa hasogelei hiyo kesho.Mengine utajua mwenyeweKuna mashirika ama kampuni kama una rekodi ya kushtakiwa kwa kosa lolote na jamuuhuri tayari kwao wanaku disco.
Dah! Ptuuh.Sasa janamke la chuga la kazi gani!?..nene,levi,kiuno kigumu,kusafisha naniliu halijui
Kama sinema za Kinaijeria tu mkuu, unazabuliwa kama kawaida na kupenda utazidi kupenda.Daaaaah siku mwanamke akinipiga kofii.. πππ sijui, Mungu aniepushe
Tunaomba mrejesho wa ulivoongea na bosiHuyu kaka alikua ananichukuli poa sana. Mnoko mnoko anapenda kunifatilia mambo yangu hata kama hayahusiani na kazi anaingiza pua yake kwenye mambo private. Kila wiki ananiripoti kwa bosi kwa vitu vya uongo.
Sasa leo aligonga kubaya nikapatwa na hasira ghafla. Unajua madem wa chuga hatunaga pampa pampa.
Nilisimama nikamkunja nikamuingiza kwa kwapa akawa hafulukuti nikamtia vibao viwili vitakatifu halafu nikamwambia nenda kaseme kwa bosi wako.
Nikachukua begi langu nikasepa home. Bosi amenipigia simu zaidi ya mara nne sijapokea. Saa hizi ameniandikia meseji akinisihi nipokee simu ana mazungumzo na mimi. Nimemjibu tutaongea kesho ofisini.
Hata kama nitakua nimenyea ugali wangu ila najipongeza kumpa adabu huyu kaka wa hovyo! Naona sasa atakua na adabu na atakaa mbali na mimi! Sipendagi mazoea ya kiufisadi na kimbea mbea mie!!
Nafurahia kusikia hivyo Kaka ,ukiniona ndugu yangu Intelligent businessman mwambie namsalimu piaNjema kabisa mkuu, tupo tunaendeza kilimo kwanza huku kiteto
Habari za Tabora chiefLeo ndio nimejua kwamba wewe ni Ke.
Anywas......
Kwetu huku moja kati ya sheria za kazi ni......ukipigwa/ukipiga ama mkipigana na ikathibitika ni wote mnafukuza kazi na hakuna mjadala wala msamaha kwenye hilo.
Mboka nilisha hama mkuu, hii inasomeka Mara mazeeHabari za Tabora chief
Kwa hiyo wafanyakazi wa Majeshi ni vibarua maana wao hadi sikukuu wapo kazini?Jifunzeni kutofautisha Kazi na Vibarua, Ofisi na Vijiwe. Mnapotosha vijana wetu.
Hao ni vibarua wa Ulinzi.Kwa hiyo wafanyakazi wa Majeshi ni vibarua maana wao hadi sikukuu wapo kazini?