kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,742
Mkuu ulishalizwa nini? Tii sheria bila shuluti!!Ni bora mwizi wa namna hii, kuliko yule anakuchukua, kisha anakuweka ndani, mwaka mzima, unateseka, huioni familia yako, unakula hovyo kisha unampa hela anayoitaka ndio anakuachia. Mwizi wa hivi ni mbaya, sbb anakuibia huku anakupora haki zako za kijamii na kibinadamu, ila huyo mwizi wako yeye anakuibia lakini hakuchukulii haki zako, si unaona time hii uko kwako!
Huku sisi twala ndoo ya dodo kwa 3,000/=! Pole sana, Tz kweli ni kubwa!Wadau Leo nimezidiwa ujanja nimebaki nacheka kweli mjini shule nimemkuta mtu ana maembe dodo mazuri Mbagala stand nikayapenda, nikauliza bei akasema ni sh. 800 na yapo 4 Mimi nilitaka mawili tu.
Nikampa 10,000 akawa chenji hana ikabidi aniache na maembe Yale manner na kiroba chake anaenda kuchukua chenji na kuleta mfuko aisee nimekaa Masaa nawili hajarudi. Nikawauliza majirani pale wanauza vitu wanasema hawamjui. Basi nimeondoka, kiroba nimetupa, nimechukua embe nipo home
Siku yakikukuta usije ukatulilia humu! Huo ni wizi kama wizi mwingine!Yuko sahihi kukuacha. Wewe ubatoa 10,000 kwa maembe ya shs 1,600 unaona sawa. Tunatakiwa kutoa fedha kulingana na ukubwa wa kitu.
Kutoa 10,000 kwa nauli ya daldala ya shs 450 sio sawa. Tafuta chenji kwanza. Konda akikusubirisha unalalamika.
Hahahaha. Hapana mkuu nimewaza tu. Bora huu wizi wa huyu muuza maembe kuliko ule wa yule mganga wa Buswelu.Mkuu ulishalizwa nini? Tii sheria bila shuluti!!
Shikamoo kololaHili jambo nilifunzwa na mama mmoja hapo Kariakoo sokoni mwaka 1988. Siwezi Mpatia muuzaji hela ili atafute chenji. Atumie yake au aombe kwa wenzake
Pole ya nini wakati yeye ndiye kaondoka kaacha change?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole mkuu
Pole na hongera kwa ujasiri wa kushea hii stori na wengine, maana baadhi ya watu hudhani wakisema ukweli watajidhalilisha. Hata hivyo si mbaya sana, umesaidia mzunguko wa fedhaWadau Leo nimezidiwa ujanja nimebaki nacheka kweli mjini shule nimemkuta mtu ana maembe dodo mazuri Mbagala stand nikayapenda, nikauliza bei akasema ni sh. 800 na yapo 4 Mimi nilitaka mawili tu.
Nikampa 10,000 akawa chenji hana ikabidi aniache na maembe Yale manner na kiroba chake anaenda kuchukua chenji na kuleta mfuko aisee nimekaa Masaa nawili hajarudi. Nikawauliza majirani pale wanauza vitu wanasema hawamjui. Basi nimeondoka, kiroba nimetupa, nimechukua embe nipo home
Mtaji wake mdogo kuliko alivyokuachia umwangalizie...hukuangalia thamani ya ulivyoachiwa kabla ya kumwamini...??!!Wadau Leo nimezidiwa ujanja nimebaki nacheka kweli mjini shule nimemkuta mtu ana maembe dodo mazuri Mbagala stand nikayapenda, nikauliza bei akasema ni sh. 800 na yapo 4 Mimi nilitaka mawili tu.
Nikampa 10,000 akawa chenji hana ikabidi aniache na maembe Yale manner na kiroba chake anaenda kuchukua chenji na kuleta mfuko aisee nimekaa Masaa nawili hajarudi. Nikawauliza majirani pale wanauza vitu wanasema hawamjui. Basi nimeondoka, kiroba nimetupa, nimechukua embe nipo home
Former Prime Minister of the United Kingdom, Winston Churchill, once said: "I took taxi one day to the BBC office for an interview.Wadau Leo nimezidiwa ujanja nimebaki nacheka kweli mjini shule nimemkuta mtu ana maembe dodo mazuri Mbagala stand nikayapenda, nikauliza bei akasema ni sh. 800 na yapo 4 Mimi nilitaka mawili tu.
Nikampa 10,000 akawa chenji hana ikabidi aniache na maembe Yale manner na kiroba chake anaenda kuchukua chenji na kuleta mfuko aisee nimekaa Masaa nawili hajarudi. Nikawauliza majirani pale wanauza vitu wanasema hawamjui. Basi nimeondoka, kiroba nimetupa, nimechukua embe nipo home
π πNa wewe si ungegeuka na kua muuzaji wa hayo Maembe ili mtu akitoa elfu 10 na wewe uende kumtafutia chenji.
ππ