Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Mwaga Ubu you.Komando amenikumbusha mtu fulani hivi…
Anyways, ametisha 👏🏽🙌🏾
Amenikumbusha kaka mzuri wangu kwa huo ukakamavu wake 😊Mwaga Ubu you.
Kwani nani ka kwambia Ndevu ni uchafu, watu wana mpaka tatoo jeshini.Wakuu wa JWTZ suala la ndevu jeshini liangalieni upya askari ni usafi.
Dokta mwana wa Amour.Komando amenikumbusha mtu fulani hivi…
Anyways, ametisha 👏🏽🙌🏾
We ndio wakunifundisha mimi hizi mambo? Haya basi huyu ni parachutaMkuu elewa kutenganisha kati ya parachuter na commando!!!
Hatumjui huyo.Amenikumbusha kaka mzuri wangu kwa huo ukakamavu wake 😊
Sasa wewe umjue wa nini? Huyo namjua mimi tu.Hatumjui huyo.
Ni Nani huyo mkomavu ?
huo ndo udhaifu wakeNa pete wakati ameshika silaha
Hawa wana kazi maalum, na wanaishi kama raia na wanajiweka sawa na raia mitaani, wengine wana rasta, midevu, nk.Wakuu wa JWTZ suala la ndevu jeshini liangalieni upya askari ni usafi.
Mmbea hamwagi nusu umbea 😂Sasa wewe umjue wa nini? Huyo namjua mimi tu.
Camouflage.Unaambiwa hizo siyo ndevu ni rangi za kijeshi zinazopakwa usoni ili kuficha muonekano halisi wa commando awapo kazini (cammafradge)
JasusiKomando amenikumbusha mtu fulani hivi…
Anyways, ametisha [emoji1433][emoji1487]