Mkasela
Senior Member
- Dec 22, 2018
- 156
- 224
Ktk Maisha usikariri.. utakuja kufanywa kitu ambacho hutaamini.
[emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ktk Maisha usikariri.. utakuja kufanywa kitu ambacho hutaamini.
Kwani nani ka kwambia Ndevu ni uchafu, watu wana mpaka tatoo jeshini.View attachment 2870056
Karembua, pozi la pichaMbona kama ana kengeza?
Labda wavuka mipaka kama Said KalemboHawa wana kazi maalum, na wanaishi kama raia na wanajiweka sawa na raia mitaani, wengine wana rasta, midevu, nk.
Umeona hata kwenye parade kawekwa kikosi cha miwani" asionekane vizuri.
Jimix ndio utajua ni chongo au kengezaMbona kama ana kengeza?
Si utulie ? Sio lazima kuchangia usilojuaHuyo atakuwa mamluki, soja wa bongo na ndevu wapi na wapi?
Hamna mkuu, minaona kama ana chongo kabisa...teh🤣Mbona kama ana kengeza?
Reflection ya miwani.Hamna mkuu, minaona kama ana chongo kabisa...teh[emoji1787]
SawaCamouflage.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Komando amenikumbusha mtu fulani hivi…
Anyways, ametisha [emoji1433][emoji1487]
Labda Pete ya kazi...Na pete wakati ameshika silaha
[emoji1787]Unaambiwa hizo siyo ndevu ni rangi za kijeshi zinazopakwa usoni ili kuficha muonekano halisi wa commando awapo kazini (cammafradge)