Leo nimeona mwanajeshi mwenye ndevu Tanzania

Leo nimeona mwanajeshi mwenye ndevu Tanzania

Kuna wakati nipo kibiti kulikua na wanajeshi wa ajabu sana wanamarasta makubwa wengine wana dredi . Nikaja kuambiwa walikua ni special force ndo komandoo wanaitwa
Kibiti usizadharau mtu kina hadi ma barmaids maaskari
 
Delta force
Delta force ni zaidi ya komando wa kawaida , wale si watu WA kawaida ,huko US army ,marine na Navy kote kuna komando kama wale Navy seals, army rangers nk ila hawajafikia supremacy ya hawa viumbe wa delta force .
Acha kufananisha hawa viumbe wa delta force na takataka hizo za jeshi la ccm
 
Back
Top Bottom