tryphone005
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 453
- 507
Kama aligeuka panya anashindwaje kufanya sura yake iwe ngeni kwako japo ni jirani yako tu hapo, unaweza ukaona ni mtu usiyemfahamu,Mmh. Itakuwa ndoto hii.
Mana amepataje ujasiri wa kukufuata mana kugeuka panya sio jambo dogo, hivyo hata hajahofia kama utamtangaza kama hivi ulivyofanya.
Mmh. Itakuwa ndoto hii.
Mana amepataje ujasiri wa kukufuata mana kugeuka panya sio jambo dogo, hivyo hata hajahofia kama utamtangaza kama hivi ulivyofanya.
[HASHTAG]#Rubii[/HASHTAG] umeamka salama mama?Chai hii
Rubii jamani rubii!Chai hii
Na huyo aliyekua anachechemea umemfahamu?
we jamaa ni muongo!!Baada Ya Kumtandika Fimbo Chumbani Akakimbia Nje Huku Akichechemea Mara Nikasikia Mtu Anabisha Hodi Nilipokwenda Msikiliza Namkuta Mtu Flani Anachechemea Huku Akiniambia " Uumeona Ulivyoniumiza?" Akaondoka Huku Akilalamika.Nipo Njia Panda Lakini I'm Strong.
Mtafute mshana jr kwa maelezo zaidi
Nijuavyo mimi ni matukio yanayotokea usiku kizani, na kuna wakati huwa hata hatudhanii kabisa kama tulichokipa kichapo ni mnyama feki!Cc mshana jr
Jumapili asubuhii.Cc mshana jr