Leo nimeona panya wa alianza kula boksi nikamvizia na stick ya nguvu kilichotokea hiki

Utasababisha nim mwagie mshana wa watu mafuta ya mbuzi katoliki.
Mbona umekuwa na interest sana na mambo ya juju??
Haha me najifunza tu.....kujua kumbe kuna mambo ya ajabu dunia hii
 
Your bodily strength is useless in confronting Satan,be strong in Jesus, otherwise..........
 
Ni kwanini mlichukua maamuzi hayo Mkuu?
 
Pole sana mkuu, nadhani ni njaa tu iliyopo mtaani. Kwani kwenye boksi uliweka nini?? Nadhani pia alikosa msosi akaona isiwe tabu bora atafune boksi tu.
 
ungemuuliza kwani wewe ni panya?
akikubali unamwambia mi siamini nisubiri hapo,unaingia ndani unamchanganyia dagaa na sumu ya panya kisha unamuambia ale ili uprove kama ni kweli
nimependa tu hizo fonts
 
ungemuuliza kwani wewe ni panya?
akikubali unamwambia mi siamini nisubiri hapo,unaingia ndani unamchanganyia dagaa na sumu ya panya kisha unamuambia ale ili uprove kama ni kweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] panya wanaongea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…