Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

Don't worry we need financial freedom.
 
Kwanza unaonekana mjuaji sana? Yani mkoani unakufananisha na Jehanam.? Utakua umekumbuka kusagwa wewe
 
sahihi chief vp haya mazingira nita sustain kweli! hali si shwari
sahihi chief vp haya mazingira nita sustain kweli! hali si shwari
Japo huwa ninapenda comment za masihara lakini hii hapa nakupa makavu inaonekana umejisahau kama wewe ni mtoto wa kiume unajilegeza mno acha utoto wa mama amini umayai umeuacha dar kuwa ngangari hao uliowakuta huko ni watu kama wewe mbona wanaishi,mimi mwenyewe wakati nKija nilipo sasa nilikuta mazingira tofauti na niliyoyatarajia maji ya kisima,nomezongirwa na nyumba za tofali mbichi,vyoo vya shimo nilihsngaika kwa siku chache tu lakini nilivyoadapt mazingira sikupata tena shida mpaka sasa nimejonga huku na napaona pa kawaida unakosea sana kupaita jehanamu wanapoisho binsdamu wenzako je wewe una nini cha zaidi uluchowazidi je ni hiyo degree.Nikirudi kwenye utani wangu kama kawaida nakwambia wewe na hiyo degree yako hiyo ya heshima mtarogwa mpaka mtazoea kurogwa
 
Japo huwa ninapenda comment za masihara lakini hii hapa nakupa makavu inaonekana umejisahau kama wewe ni mtoto wa kiume unajilegeza mno acha utoto wa mama amini umayai umeuacha dar kuwa ngangari hao uliowakuta huko ni watu kama wewe mbona wanaishi,mimi mwenyewe wakati nKija nilipo sasa nilikuta mazingira tofauti na niliyoyatarajia maji ya kisima,nomezongirwa na nyumba za tofali mbichi,vyoo vya shimo nilihsngaika kwa siku chache tu lakini nilivyoadapt mazingira sikupata tena shida mpaka sasa nimejonga huku na napaona pa kawaida unakosea sana kupaita jehanamu wanapoisho binsdamu wenzako je wewe una nini cha zaidi uluchowazidi je ni hiyo degree.Nikirudi kwenye utani wangu kama kawaida nakwambia wewe na hiyo degree yako hiyo ya heshima mtarogwa mpaka mtazoea kurogwa
nimeupokea ushauri wako mkuu
 
Wanaume wa dar Kwa 'kulia' Yani mambo ya kijinga jinga,halafu mkuu kwanini unapenda sana kuuliza why me?ushawahi jiuliza why not me?ukaona maisha yalivyo rahisi?
 
120Km kutoka makao ya halmashaur/wilayazilizokuzunguka

Mbona kama sio kweli
 
Back
Top Bottom