Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatumwa wakabadili jamii ya huko,badluck jamii na mazingira ndio yanambadilisha yeye( hii ipo sana kwa Waalimu) ..Sasa shinda ni elimu makaratasi(theory) or matatizo binafsi or uchawi?Mara nyingi naona wakija kijijini wanaangukia Kwa waathirika
ahsante mkuuJiepushe kula kula hovyo
MUNGU ATUOKOEWanatumwa wakabadili jamii ya huko,badluck jamii na mazingira ndio yanambadilisha yeye( hii ipo sana kwa Waalimu) ..Sasa shinda ni elimu makaratasi(theory) or matatizo binafsi or uchawi?
Du!Na akizubaa na wanambandua usiku
nini kusudi lao??Watu wanaokutakia mema hawawezi kukupeleka gambushi mkuu
Sifahamunini kusudi lao??
sawa mkuuSifahamu
Kumbe hata wa dar mnajua kuna kuna kusaga mahindi mi nilijua mnakulaga 🍕 ndio maana walegevumkuu kwenda kusaga unga tu ni takriban km 17 mpaka mashineni
Bro ushapotea wewekipenzi changu ashura wa makumbusho sijui hata tutaonana nae lini!
sahihi chief vp haya mazingira nita sustain kweli! hali si shwari
Japo huwa ninapenda comment za masihara lakini hii hapa nakupa makavu inaonekana umejisahau kama wewe ni mtoto wa kiume unajilegeza mno acha utoto wa mama amini umayai umeuacha dar kuwa ngangari hao uliowakuta huko ni watu kama wewe mbona wanaishi,mimi mwenyewe wakati nKija nilipo sasa nilikuta mazingira tofauti na niliyoyatarajia maji ya kisima,nomezongirwa na nyumba za tofali mbichi,vyoo vya shimo nilihsngaika kwa siku chache tu lakini nilivyoadapt mazingira sikupata tena shida mpaka sasa nimejonga huku na napaona pa kawaida unakosea sana kupaita jehanamu wanapoisho binsdamu wenzako je wewe una nini cha zaidi uluchowazidi je ni hiyo degree.Nikirudi kwenye utani wangu kama kawaida nakwambia wewe na hiyo degree yako hiyo ya heshima mtarogwa mpaka mtazoea kurogwasahihi chief vp haya mazingira nita sustain kweli! hali si shwari
nimeupokea ushauri wako mkuuJapo huwa ninapenda comment za masihara lakini hii hapa nakupa makavu inaonekana umejisahau kama wewe ni mtoto wa kiume unajilegeza mno acha utoto wa mama amini umayai umeuacha dar kuwa ngangari hao uliowakuta huko ni watu kama wewe mbona wanaishi,mimi mwenyewe wakati nKija nilipo sasa nilikuta mazingira tofauti na niliyoyatarajia maji ya kisima,nomezongirwa na nyumba za tofali mbichi,vyoo vya shimo nilihsngaika kwa siku chache tu lakini nilivyoadapt mazingira sikupata tena shida mpaka sasa nimejonga huku na napaona pa kawaida unakosea sana kupaita jehanamu wanapoisho binsdamu wenzako je wewe una nini cha zaidi uluchowazidi je ni hiyo degree.Nikirudi kwenye utani wangu kama kawaida nakwambia wewe na hiyo degree yako hiyo ya heshima mtarogwa mpaka mtazoea kurogwa