Leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra

Leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra

Carina

Senior Member
Joined
Jan 4, 2011
Posts
194
Reaction score
70
Aisee wanajamvi leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra. Sio kupunguza mwendo ni kutosimama kabisa.

Nilikuwa sijui kama ndio hivyo.

Kwan nilipunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa wanaosubiria kuvuka basi nikaendelea kuendesha mbele ndio nakutana na trafic akanissimamisha akaniambia umepita Zebra bila kusimama.

Nikasema nimepunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa. Traffic akaniambia ilitakiwa usimame kabisa.

Daah nikachoka kabla sijakaa vizuri akanitwanga na cheti 30K hii hapa kalipe. Hivyo ndugu zangu kuweni makini na Zebra.

Hii ni Dar es Salaam.

Nawasilisha.
 
Aisee wanajamvi leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra. Sio kupunguza mwendo ni kutosimama kabisa.

Nilikuwa sijui kama ndio hvyo.

Kwan nilipunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa wanaosubiria kuvuka basi nikaendelea kuendesha mbele ndio nakutana na trafic akanissimamisha akaniambia umepita Zebra bila kusimama.

Nikasema nimepunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa. Traffic akaniambia ilitakiwa usimame kabisa.

Daah nikachoka kabla sijakaa vizuri akanitwanga na cheti 30K hii hapa kalipe.

Hvyo ndugu zangu ndio hvyo kuweni makini na Zebra.

Hii ni Dar es Salaam

Nawasilisha
Angekuonyesha kwanza kanuni, tofauti na hapo taa za wapita kwa miguu ziwe zimeruhusu
 
Aisee wanajamvi leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra. Sio kupunguza mwendo ni kutosimama kabisa.

Nilikuwa sijui kama ndio hvyo.

Kwan nilipunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa wanaosubiria kuvuka basi nikaendelea kuendesha mbele ndio nakutana na trafic akanissimamisha akaniambia umepita Zebra bila kusimama.

Nikasema nimepunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa. Traffic akaniambia ilitakiwa usimame kabisa.

Daah nikachoka kabla sijakaa vizuri akanitwanga na cheti 30K hii hapa kalipe.

Hvyo ndugu zangu ndio hvyo kuweni makini na Zebra.

Hii ni Dar es Salaam

Nawasilisha
Kulikuwa na taa?
 
Aisee wanajamvi leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra. Sio kupunguza mwendo ni kutosimama kabisa.

Nilikuwa sijui kama ndio hvyo.

Kwan nilipunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa wanaosubiria kuvuka basi nikaendelea kuendesha mbele ndio nakutana na trafic akanissimamisha akaniambia umepita Zebra bila kusimama.

Nikasema nimepunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa. Traffic akaniambia ilitakiwa usimame kabisa.

Daah nikachoka kabla sijakaa vizuri akanitwanga na cheti 30K hii hapa kalipe.

Hvyo ndugu zangu ndio hvyo kuweni makini na Zebra.

Hii ni Dar es Salaam

Nawasilisha
Traffic yupo sawa ndivyo ulitakiwa kufanya. Kwa nchi zilizo endele ulitakiwa hata kama hujaona mtu lazima usimame hapo tema kama mtu anapita unatakiwa umsubiri mpaka amalize kupita ndio wewe nawe upite

kibongo bongo kuna ujinga mwingi wa maderewa kupigia honi wapita njia waharakishe kuvuka ili nao waendelee na safari zao, hili nalo ni kosa

Kwenye stop sign vivyo hivyo unatakiwa usimame hata kama hakuna kitu mbele yako.. ukitoka nje wa bongo ukaangalia maderewa wa bongo utakuja kujua bongo hakuna kufuata sheria katika usalama wa barabara
 
Aisee wanajamvi leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra. Sio kupunguza mwendo ni kutosimama kabisa.

Nilikuwa sijui kama ndio hvyo.

Kwan nilipunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa wanaosubiria kuvuka basi nikaendelea kuendesha mbele ndio nakutana na trafic akanissimamisha akaniambia umepita Zebra bila kusimama.

Nikasema nimepunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa. Traffic akaniambia ilitakiwa usimame kabisa.

Daah nikachoka kabla sijakaa vizuri akanitwanga na cheti 30K hii hapa kalipe.

Hvyo ndugu zangu ndio hvyo kuweni makini na Zebra.

Hii ni Dar es Salaam

Nawasilisha
Umepigwa. Huo upuuzi walishauleta hakuna sheria hio hata kiongozi wao baadae alikiri.
 
Kama mwanza ndo hawajal kabisa...jana ilikuwa nane nane na magar yakikuwa mengi ukizngatia na barabara yenyew ni uchochoro ila kuna zebra crossing moja iv yaan greenligh inawaka ila magara yanapita tu...kama si msaada wa traffic kuingilia kat watu wangesimama hata saa nzima
 
Traffic yupo sawa ndivyo ulitakiwa kufanya. Kwa nchi zilizo endele ulitakiwa hata kama hujaona mtu lazima usimame hapo tema kama mtu anapita unatakiwa umsubiri mpaka amalize kupita ndio wewe nawe upite

kibongo bongo kuna ujinga mwingi wa maderewa kupigia honi wapita njia waharakishe kuvuka ili nao waendelee na safari zao, hili nalo ni kosa

Kwenye stop sign vivyo hivyo unatakiwa usimame hata kama hakuna kitu mbele yako.. ukitoka nje wa bongo ukaangalia maderewa wa bongo utakuja kujua bongo hakuna kufuata sheria katika usalama wa barabara
Hakuna hio sheria kwenye zebra. Kuna kipindi walileta huu upuuzi ikagundulika sheria haisemi hivyo kiongozi wao akasema wanakosea.
 
Aisee wanajamvi leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra. Sio kupunguza mwendo ni kutosimama kabisa.

Nilikuwa sijui kama ndio hvyo.

Kwan nilipunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa wanaosubiria kuvuka basi nikaendelea kuendesha mbele ndio nakutana na trafic akanissimamisha akaniambia umepita Zebra bila kusimama.

Nikasema nimepunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa. Traffic akaniambia ilitakiwa usimame kabisa.

Daah nikachoka kabla sijakaa vizuri akanitwanga na cheti 30K hii hapa kalipe.

Hvyo ndugu zangu ndio hvyo kuweni makini na Zebra.

Hii ni Dar es Salaam

Nawasilisha
Traffic hajui hata kuendesha gari, amehamishwa kwa magendo kutoka FFU mpaka kikosi cha usalama barabarani unategemea kuna anachokijuwa kuhusu sheria za barabarani?

Kataeni ukondoo, jana nimeona Polisi aliyevaa kaki anawakataza daladala wasishushe abiria kwenye kituo inapoanzia treni ya mwendo kasi station Dar wakati wajenzi wa barabara wameweka kituo cha kushushia abiria anayesafiri, sasa utasema Polisi wengi wa Tanzania akili zao zinawatosha.
 
Traffic yupo sawa ndivyo ulitakiwa kufanya. Kwa nchi zilizo endele ulitakiwa hata kama hujaona mtu lazima usimame hapo tema kama mtu anapita unatakiwa umsubiri mpaka amalize kupita ndio wewe nawe upite

kibongo bongo kuna ujinga mwingi wa maderewa kupigia honi wapita njia waharakishe kuvuka ili nao waendelee na safari zao, hili nalo ni kosa

Kwenye stop sign vivyo hivyo unatakiwa usimame hata kama hakuna kitu mbele yako.. ukitoka nje wa bongo ukaangalia maderewa wa bongo utakuja kujua bongo hakuna kufuata sheria katika usalama wa barabara
Uongo mtupu
 
Traffic yupo sawa ndivyo ulitakiwa kufanya. Kwa nchi zilizo endele ulitakiwa hata kama hujaona mtu lazima usimame hapo tema kama mtu anapita unatakiwa umsubiri mpaka amalize kupita ndio wewe nawe upite

kibongo bongo kuna ujinga mwingi wa maderewa kupigia honi wapita njia waharakishe kuvuka ili nao waendelee na safari zao, hili nalo ni kosa

Kwenye stop sign vivyo hivyo unatakiwa usimame hata kama hakuna kitu mbele yako.. ukitoka nje wa bongo ukaangalia maderewa wa bongo utakuja kujua bongo hakuna kufuata sheria katika usalama wa barabara
Umeendesha gari nchi gani?
 
Aisee wanajamvi leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra. Sio kupunguza mwendo ni kutosimama kabisa.

Nilikuwa sijui kama ndio hvyo.

Kwan nilipunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa wanaosubiria kuvuka basi nikaendelea kuendesha mbele ndio nakutana na trafic akanissimamisha akaniambia umepita Zebra bila kusimama.

Nikasema nimepunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa. Traffic akaniambia ilitakiwa usimame kabisa.

Daah nikachoka kabla sijakaa vizuri akanitwanga na cheti 30K hii hapa kalipe.

Hvyo ndugu zangu ndio hvyo kuweni makini na Zebra.

Hii ni Dar es Salaam

Nawasilisha
Ukikuta alama hii ya STOP, ni lazima usimame hata kama hakuna watu.

1723176220573.png
 
Back
Top Bottom