Leo nimepima afya Kwa kuitumia BMI calculator na kupata matokeo mazuri sana

Leo nimepima afya Kwa kuitumia BMI calculator na kupata matokeo mazuri sana

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Nimefurahi sana lna pia namshukuri Mungu na hii ni baada ya kupima afya kwa kuoanisha uzito na urefu wangu na kupata matokeo mazuri kiafya

Nimeweka matokeo kwa rejea yenu

Tujitahidi kupima afya zetu

Jumapili njema.
Screenshot_2024_0519_141831.jpg
 
Back
Top Bottom