Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
Kabisa njoo tutayajenga.Na wewe umeamua kutulia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa njoo tutayajenga.Na wewe umeamua kutulia?
Hapo hamna, tena kilikuwa kisafi balaa. Kipo clearNimeona kama kuna kamstari kengine Kwa mbaali!
Namaanisha mistari miwili
Kweli acha nitilie tu kufuliunafungua kwa sababu maalumu then unafunga tena...
maisha matamu bibie 😂😂😂
Mnapimaga Mara kwa Mara ili mgundue Nini labda?[emoji4]Kupima mara moja tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunaopima mara kwa mara je
Weka picha yako na namba ya simuKwema?
Leo nimeamkia PITC nikasema liwalo na liwe acha niijue afya yangu.
Sijawahi kupima HIV na niliapa sitopima labda niwe mjamzito. Ila kuna wakati viapo vinatenguliwa unakuwa na nafasi mbili, ujue afya yako au stress zikupige hadi ufe. Mimi nilichagua kuijua afya yangu.
Nimepewa elimu kabla ya vipimo, nikiri wazi kwamba kwa elimu niliyopewa na wale wataalam, hata ningekuwa nimeathirika nisingesononeka. Wanakupa elimu hadi unaona HIV kumbe sio kitu. Kisha wanakuuliza upo tayari? Hapo hiyo elimu nimepewa kwa masaa kama mawili. Niliwauliza hadi taratibu za kuchukua dawa kama nikikutwa nao na ni wapi naweza chukua dawa😂😂nje nje huko nisipojulikana, side effect pia za dawa nk.
Ushauri, usipime HIV bila kupata ushauri na elimu nzuri. Acheni tabia ya kubebana na kutoboana toboana lodge huko. Rafiki yangu juzi alikunywa sumu kwa sababu alitoboana na mpenzi wake bila kupata ushauri wala elimu. Vikasoma viwili akarudi home akanywa sumu ila bahati nzuri aliwahiwa. Huyu ndio alinifanya wazo la kuijua afya yangu linijie kwa nguvu.
Nipongezeni basi kwa ujasiri😂😂
View attachment 2105219
Tatizo Ni Lile zoezi la zile njegere Ila mwezi, afu ukiumwa kidg unajua Leo ndo kimeumana[emoji4]Wala sina hofu labda UTI ndo naiwaza
Unakuta mtu una kisonono, kaswende gono etc, halafu unajidai eti huna ukimwi, yote hayo si magonjwa ya zinaa?
Ni kweli lakini nyama za ndani za uke ni laini sana kuchubuka ni rahisi pia. Labda awe na kibamia.HIV nadhan ni ngumu kupata pia mpaka mchubuane sijui utakuwa unatafuta nini
Fanya kidogo tu
Hazikipanda vizur Wewe, zikipanda linapigwa gwaride masaa 4 non-stop afu ujui MDA umeendaje[emoji4]HIV nadhan ni ngumu kupata pia mpaka mchubuane sijui utakuwa unatafuta nini
Fanya kidogo tu
Maana kama vile hawaridhiki wakiambiwa hawana😂😂Mnapimaga Mara kwa Mara ili mgundue Nini labda?[emoji4]
IPO siku mtakipata mnachokitafuta[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe na wewe unagonganaga? Nilijuaga wewe ni m-virgin.Kupima mara moja tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunaopima mara kwa mara je
Ya nini sasa.Weka picha yako na namba ya simu
Ni tamaa TU zinawapelekesha.Maana kama vile hawaridhiki wakiambiwa hawana[emoji23][emoji23]
Kwa sie tuliojaliwa af marathonic michubuko haikwepeki nashukuru Mungu kwa utashi alionipa wa kuchagua vya kugegeda na huwa ananitangulia siku zote😅 maana isingekuwa yeye sijui ningekuwa wapi!HIV nadhan ni ngumu kupata pia mpaka mchubuane sijui utakuwa unatafuta nini
Fanya kidogo tu
Ukiona hivo jua mtu hajapima anajaribu kujipa matumaini.Kwa hiyo mwamba unataka fananisha ngoma na hizo mambo umetaja?
HIV nadhan ni ngumu kupata pia mpaka mchubuane sijui utakuwa unatafuta nini
Fanya kidogo tu
Ukiona hivo jua mtu hajapima anajaribu kujipa matumaini.
Licha ya mkojo. Ukichubuka halafu mwanaume akikumwagia zinachoma choma hapo ndio utajua haujui. Na vile shahawa nazo huwa zinabeba virusi ni hatari.Hazikipanda vizur Wewe, zikipanda linapigwa gwaride masaa 4 non-stop afu ujui MDA umeendaje[emoji4]
Ukija kustuka mkojo unakubana, unakojoa mkojo unachoma choma, unajua tayar nishachubuka
Hapo ndo unakumbuka kua majuto siku zote Ni mjukuu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂kweli ni tamaa tuNi tamaa TU zinawapelekesha.
Wanataman tamani hovyo Hadi maradhi[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu anaogopa kupima ujuwe keshapita na baadhi au njia zote za kuambukizana ukimwiKwema?
Leo nimeamkia PITC nikasema liwalo na liwe acha niijue afya yangu.
Sijawahi kupima HIV na niliapa sitopima labda niwe mjamzito. Ila kuna wakati viapo vinatenguliwa unakuwa na nafasi mbili, ujue afya yako au stress zikupige hadi ufe. Mimi nilichagua kuijua afya yangu.
Nimepewa elimu kabla ya vipimo, nikiri wazi kwamba kwa elimu niliyopewa na wale wataalam, hata ningekuwa nimeathirika nisingesononeka. Wanakupa elimu hadi unaona HIV kumbe sio kitu. Kisha wanakuuliza upo tayari? Hapo hiyo elimu nimepewa kwa masaa kama mawili. Niliwauliza hadi taratibu za kuchukua dawa kama nikikutwa nao na ni wapi naweza chukua dawa😂😂nje nje huko nisipojulikana, side effect pia za dawa nk.
Ushauri, usipime HIV bila kupata ushauri na elimu nzuri. Acheni tabia ya kubebana na kutoboana toboana lodge huko. Rafiki yangu juzi alikunywa sumu kwa sababu alitoboana na mpenzi wake bila kupata ushauri wala elimu. Vikasoma viwili akarudi home akanywa sumu ila bahati nzuri aliwahiwa. Huyu ndio alinifanya wazo la kuijua afya yangu linijie kwa nguvu.
Nipongezeni basi kwa ujasiri😂😂
View attachment 2105219