Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake ni rahisi Sana kupata ukimwi,Ni kweli lakini nyama za ndani za uke ni laini sana kuchubuka ni rahisi pia. Labda awe na kibamia.
Ila wanaume nyie kuchubuka ni nadra sana. Ndio maana aliye na chance kubwa ya kupata HIV ni mwanamke kuliko mwanaume.Kwa sie tuliojaliwa af marathonic michubuko haikwepeki nashukuru Mungu kwa utashi alionipa wa kuchagua vya kugegeda na huwa ananitangulia siku zote😅 maana isingekuwa yeye sijui ningekuwa wapi!
Yana dawa na yanatibika. Ukimwi uusikie tu kwa mwingineUnakuta mtu una kisonono, kaswende gono etc, halafu unajidai eti huna ukimwi, yote hayo si magonjwa ya zinaa?
Na hizo ARV wengine wakizimeza wanakuwa kama wehu. Tujilindeni tu jamani.Watu wanaichulia poa ngoma kwa sababu ya uwepo wa ARV...
Ukishakuwa kwenye mahusiano upo kwenye nafasi ya kupata HIV muda wowote. Hauwezi jua mpenzi wako naye ana mpenzi wake na huyo mpenzi wake naye ana mpenzi wake.Ukiona mtu anaogopa kupima ujuwe keshapita na baadhi au njia zote za kuambukizana ukimwi
Kama Ni wale wapenzi wa slow motion sawa, ila sisi wapenzi wa rough sex.Ila wanaume nyie kuchubuka ni nadra sana. Ndio maana aliye na chance kubwa ya kupata HIV ni mwanamke kuliko mwanaume.
Asante sana.Ongera sana.
Sasa ninda kapime na homa ya ini, kisonono, kasendwe na STDs nyingine
Kama vile haupo ehHivi UKIMWI bado upo?
Dah! Sikujua Hilo aisee.Licha ya mkojo. Ukichubuka halafu mwanaume akikumwagia zinachoma choma hapo ndio utajua haujui. Na vile shahawa nazo huwa zinabeba virusi ni hatari.
Na hizo ARV wengine wakizimeza wanakuwa kama wehu. Tujilindeni tu jamani.
Ni kweli , sisi wanawake ndio tuna chance kubwa sana ya Kupata HIV kwa kila tendo.Wanawake ni rahisi Sana kupata ukimwi,
Mwanaume ukiwa na kibamia Raha Sana, hata ukiloweka fresh tu hupati ukimwi.
Anko zuma kuna speech moja alkua anasema,
"Wanaume wenye vibamia hawana haja ya kuvaa kondom.
Maana Kwanza wengi haziwatoshi, pili sio rahisi wao kupata ukimwi.
Wakimaliza kusex wakanawe TU pale chini kisha waondoke zao[emoji4].
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio zinazo, kwahiyo mwanamke akichubuka hata kama mwanaume hana michubuko lakini akimwaga shahawa kwa mwanamke hizo shahawa zikikutana na open wound tayariDah! Sikujua Hilo aisee.
Kumbe sperms nazo zinakuaga na wadudu[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Wanawake mko ktk mazingira hatarish sana kuambukizwa[emoji848].Ndio zinazo, kwahiyo mwanamke akichubuka hata kama mwanaume hana michubuko lakini akimwaga shahawa kwa mwanamke hizo shahawa zikikutana na open wound tayari
Ndo mjitunze sasa,muache kuruka ruka[emoji4]Ni kweli , sisi wanawake ndio tuna chance kubwa sana ya Kupata HIV kwa kila tendo.
Pia kuna zile ambazo zinatokaga kwa mwanaume kama ute nazo zinabeba virusi. Kwa kitupi maji maji yote ya sehemu ya siri yana beba virusi kama mtu ni mwathirikaDah! Wanawake mko ktk mazingira hatarish sana kuambukizwa[emoji848].
Aisee wanaume tujilinde Sana hawa wenza wetu wasichepuke, muhuni akimwagia TU ndani kimeumana[emoji18]
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mnazinyonya na baadaye mnavaa ndomu! Akili ya ajabu kweliMimi hata niione mbususu ya wema bila kinga nope siitafuni kamwe. Vijana kavu mbaya ndgu zangu acha HIV ipo Moja PANGUSA
Sasa happy mmezidisha Sasa, tutakua hatufanyi kwa amani Sasa[emoji4]Pia kuna zile ambazo zinatokaga kwa mwanaume kama ute nazo zinabeba virusi. Kwa kitupi maji maji yote ya sehemu ya siri yana beba virusi kama mtu ni mwathirika
Chance ya kupata ukimwi kwa mate Ni ndogo Sana.Lakini mnazinyonya na baadaye mnavaa ndomu! Akili ya ajabu kweli