Leo nimepima HIV kwa hiyari

Weka picha yako na namba ya simu
 
HIV nadhan ni ngumu kupata pia mpaka mchubuane sijui utakuwa unatafuta nini
Fanya kidogo tu
Hazikipanda vizur Wewe, zikipanda linapigwa gwaride masaa 4 non-stop afu ujui MDA umeendaje[emoji4]

Ukija kustuka mkojo unakubana, unakojoa mkojo unachoma choma, unajua tayar nishachubuka

Hapo ndo unakumbuka kua majuto siku zote Ni mjukuu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIV nadhan ni ngumu kupata pia mpaka mchubuane sijui utakuwa unatafuta nini
Fanya kidogo tu
Kwa sie tuliojaliwa af marathonic michubuko haikwepeki nashukuru Mungu kwa utashi alionipa wa kuchagua vya kugegeda na huwa ananitangulia siku zote😅 maana isingekuwa yeye sijui ningekuwa wapi!
 
Licha ya mkojo. Ukichubuka halafu mwanaume akikumwagia zinachoma choma hapo ndio utajua haujui. Na vile shahawa nazo huwa zinabeba virusi ni hatari.
 
Ukiona mtu anaogopa kupima ujuwe keshapita na baadhi au njia zote za kuambukizana ukimwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…