Oa kwanza ndio umwambie mkeo hayo uone kama maisha yataenda, labda kama ndoa yako umeichoka mzeee baba.MWAMBIE mkeo awe anajiswafi na kupanakshi vizur uko chini,
Icho kinyaa ulichonancho Ni dalili ya kwamba uyo mkeo uko chini hapavutii.
Wenzio Hadi mtori tunanywea pale[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
PITC- Provider Initiated Testing and Counselling.PITC. Patient initiated testing and counseling.
Rekebisha. Siyo PTIC
Regime imebadilika sasa hivi hawapati shida, Efavirenz wameitoa wameweka Dolutegravir.Na hizo ARV wengine wakizimeza wanakuwa kama wehu. Tujilindeni tu jamani.
Hongera, Hepatitis umepata dozi ngapi?..Asante sana.
Homa ya Ini nilisha chanja . kawende na kisosnono dalili zingeshajionesha.
Variety ya hiv ya zama hizi imesha evolute,, sio kama enzi za juliana variety...Ndio. Hususani kumeza dawa kila siku na lile zoezi la kwenda kupanga foleni kuchukua dawa.
Hiyo mbali sana,hii yenyewe tunafanya peku akikaribia kumwaga anavaa ndom anajikuta anaanza tena utamu umekimbiaLakini mnazinyonya na baadaye mnavaa ndomu! Akili ya ajabu kweli
Mwanaume akivaa condom mwanamke hawezi kupata hiv labda ipasuke, lakini mwanaume akivaa condom akasex na mwenye hiv hakuna garantii kwamba atatoka salama. Shida ipo kwenye kuvua na kuvaa condom ingineIla wanaume nyie kuchubuka ni nadra sana. Ndio maana aliye na chance kubwa ya kupata HIV ni mwanamke kuliko mwanaume.
Asikwambie mtu tu tu peku tamu peku peku vua ndom peku tamuHiyo mbali sana,hii yenyewe tunafanya peku akikaribia kumwaga anavaa ndom anajikuta anaanza tena utamu umekimbia
HIV sasaAsikwambie mtu tu tu peku tamu peku peku vua ndom peku tamu
Paka Kilainishi Msichubuane..HIV sasa
Hapo ni kuwa waaminifu tu. Kama mmoja kaisha ukwaa ni kuandaana vizuriHIV sasa
Kwa nini una uhakika miezi yote hiyo utakuwa salama? Kwani haiwezi kupasuka ukapata kama ulivyosema hapo juu?Hauna haja ya kusubiri miezi mitatu kama unajijua miezi mitatu ya nyuma iliyopita haukujipitisha kwenye njia mbovu mbovu. Mimi nina uhakika hata baada ya miezi mitatu au sita hata mwaka majibu hayawezi kubadilika.
Yaani masaa mawili yote unapewa ushauri nasaha!!una bahati sana, siku hizi vituo vingi hawana muda huo, ukifika utaulizwa tu mala ya mwisho ulipima lini?kaa pale, vifaa vinaletwa tayari unasubilia matokeo yako!!Hauna haja ya kusubiri miezi mitatu kama unajijua miezi mitatu ya nyuma iliyopita haukujipitisha kwenye njia mbovu mbovu. Mimi nina uhakika hata baada ya miezi mitatu au sita hata mwaka majibu hayawezi kubadilika.
Unaweza sex hata na aliyejikwaa?Hapo ni kuwa waaminifu tu. Kama mmoja kaisha ukwaa ni kuandaana vizuri
DuuPaka Kilainishi Msichubuane..
Ndio kama utazingatia ushari wa wataalam. Kumbuka.kama anatumia dawa ipasavyo possibility ya kuambukiza inapungua piaUnaweza sex hata na aliyejikwaa?
Nmeoa Zaid ya miaka 20 ilopita,Oa kwanza ndio umwambie mkeo hayo uone kama maisha yataenda, labda kama ndoa yako umeichoka mzeee baba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lile tundu limewekwa kwa maana yake mfano jicho la tatu ni kwaajili ya Haja kubwa. Sasa ww mtori unanywea kwenye mbususu DUH. Kuni za jahanamm ni nyingi mnoooo [emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa ww mtori unanywea kwenye mbususu DUH. Kuni za jahanamm ni nyingi mnoooo [emoji16][emoji16][emoji16]