Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Mkuu wewe sio mtanzania nini? Hilo jibu mbona limejitosheleza kabisa sababu ni kitu kinachojilaka wazi kwenye jamii ya watanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wauza barakoa ni manesi na madaktari muhimbiliNimenunua barakoa sh. 500. I noticed yule mwanamke anayeuza barakoa mkono wake wa kulia ile middle finger ina bendeji.
Kwa hiyo akawa ananipa barakoa kwa uangalifu sana,in fact amekwenda ndani kuzichukua akaja kunionyesha kwamba anafungua pakti mpya,na ile barakoa nikaichomoa mwenyewe.
Nikamuuliza mkono wake una tatizo gani?
Akasema,"Mdudu".
Nikamuuliza,"Mdudu,vipi"?
Akasema,"Mdudu maana yake mkono unavimba,unapata kidonda,halafu ukipona mambo yanakuwa sawa."
Yaani just like that huyu mwanamke ananijibu,"Mdudu"----such a careless reply. Yule mwanamke siyo muuguzi,naona amevaa kiraia tu.
What I noticed ni kwamba toka ulipokuja uongozi wa Profesa Janabi,vijana wengi kule nje waliokuwa wanauza barakoa wamefukuzwa ili hospitali ichukue responsibility kwa kila barakoa inayouzwa pale. Inakuaje sasa mtu ananiuzia barakoa anasema,"Mdudu"?
You understand what I am driving at, I hope. Mi nautilia mashaka uongozi wa Prof Janabi. Au labda hiyo ni extreme statement. Niseme tu mimi nasikitika kwamba yule mwanamke ameniamibia,"Mdudu".
We nadhani ndio Jean Piaget mwenyewe,hutaki watu wawe egocentric.Ukinunua vocha ya simu uje utueleze ulivyouziwa hatua kwa hatua.Rahisisha maisha yako.
Huwezi kuamini, sijaelewaNimenunua barakoa sh. 500. I noticed yule mwanamke anayeuza barakoa mkono wake wa kulia ile middle finger ina bendeji.
Kwa hiyo akawa ananipa barakoa kwa uangalifu sana,in fact amekwenda ndani kuzichukua akaja kunionyesha kwamba anafungua pakti mpya,na ile barakoa nikaichomoa mwenyewe.
Nikamuuliza mkono wake una tatizo gani?
Akasema,"Mdudu".
Nikamuuliza,"Mdudu,vipi"?
Akasema,"Mdudu maana yake mkono unavimba,unapata kidonda,halafu ukipona mambo yanakuwa sawa."
Yaani just like that huyu mwanamke ananijibu,"Mdudu"----such a careless reply. Yule mwanamke siyo muuguzi,naona amevaa kiraia tu.
What I noticed ni kwamba toka ulipokuja uongozi wa Profesa Janabi,vijana wengi kule nje waliokuwa wanauza barakoa wamefukuzwa ili hospitali ichukue responsibility kwa kila barakoa inayouzwa pale. Inakuaje sasa mtu ananiuzia barakoa anasema,"Mdudu"?
You understand what I am driving at, I hope. Mi nautilia mashaka uongozi wa Prof Janabi. Au labda hiyo ni extreme statement. Niseme tu mimi nasikitika kwamba yule mwanamke ameniamibia,"Mdudu".
....au Mei Mosi hii Ina "pekeji" kama ahadi ilivyokuwa?ina bendeji.
We will talk about face masks later, now lets discuss about the issue of mdudu 🤣🤣Tuachane na mdudu. bado mambo ya kuuziana barakoa yapo?
Una miaka 9 jukwaani 🤣Kwa mara ya kwanza tangu nijiunge humu leo nimejiuliza je kichwani mwangu zimo kweli?
Miaka 9 mkuu [emoji1787][emoji1787]Una miaka 9 jukwaani [emoji1787]
Mtoa mada mwenyewe hajui shabaha yake ni ipi 🤣Uzi hauna muunganikoa kabisa. Janabi anahisiana vipi na uuzaji barakoa na mtu mwenye mdudu?!
Wewe ni wakuja hapa Dar,isingekuwa hivyo,ungejua mdudu maanbyake niniNimenunua barakoa sh. 500. I noticed yule mwanamke anayeuza barakoa mkono wake wa kulia ile middle finger ina bendeji.
Kwa hiyo akawa ananipa barakoa kwa uangalifu sana,in fact amekwenda ndani kuzichukua akaja kunionyesha kwamba anafungua pakti mpya,na ile barakoa nikaichomoa mwenyewe.
Nikamuuliza mkono wake una tatizo gani?
Akasema,"Mdudu".
Nikamuuliza,"Mdudu,vipi"?
Akasema,"Mdudu maana yake mkono unavimba,unapata kidonda,halafu ukipona mambo yanakuwa sawa."
Yaani just like that huyu mwanamke ananijibu,"Mdudu"----such a careless reply. Yule mwanamke siyo muuguzi,naona amevaa kiraia tu.
What I noticed ni kwamba toka ulipokuja uongozi wa Profesa Janabi,vijana wengi kule nje waliokuwa wanauza barakoa wamefukuzwa ili hospitali ichukue responsibility kwa kila barakoa inayouzwa pale. Inakuaje sasa mtu ananiuzia barakoa anasema,"Mdudu"?
You understand what I am driving at, I hope. Mi nautilia mashaka uongozi wa Prof Janabi. Au labda hiyo ni extreme statement. Niseme tu mimi nasikitika kwamba yule mwanamke ameniamibia,"Mdudu".