Leo nimepita maeneo ya Muhimbili Hospital nimenunua barakoa

Mkuu wewe sio mtanzania nini? Hilo jibu mbona limejitosheleza kabisa sababu ni kitu kinachojilaka wazi kwenye jamii ya watanzania.
 
Kwani wauza barakoa ni manesi na madaktari muhimbili
 
Huwezi kuamini, sijaelewa
 
Uzi hauna muunganikoa kabisa. Janabi anahisiana vipi na uuzaji barakoa na mtu mwenye mdudu?!
 
Kujaribu kumuelewa mtoa mada nj kutaka kuumwa kichwa.
 
Wewe ni wakuja hapa Dar,isingekuwa hivyo,ungejua mdudu maanbyake nini
 
Usikwazike kwa mambo madogomadogo bhana,easy....easyyy
 
Hahaha kwani mkuu wewe unamjua mdudu yupi na yupi na kwani iyo barakoa siumesema uliitoa kwenye pakti mpya tena ukaitoa wewe mwenyewe sa apo tatizo ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…