torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
teh teh!! bas nimepata jibuTarime.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
teh teh!! bas nimepata jibuTarime.....
Ila ule mtaa wa Mitungi na Colombia Street ilinibidi nipite kikakamavu zaidi, maana hayo majina ya mitaa hiyo yalihatarisha amani ya moyo wangu, nikahisi humu wazee wa "ngada" hawakosekani.Hivi mtu akiwa anaishi kwenye hiyo mitaa uliyopiga picha halafu akiulizwa na watu wa mikoani anakoishi atathubutu kusema anaishi Dar?